• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

RC MNDEME na maagizo 20 ya kuukabili ugonjwa wa corona

Tarehe ya Kuwekwa: April 3rd, 2020

Rc Mndeme na maagizo 20 ya kuukabili ugonjwa wa corona

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ametoa maagizo 20 ya kukakabiliana na ugonjwa wa corona  Mkoani  Ruvuma .

Mndeme ametoa maagizo hayo katika kikao cha kamati ya maafa ya Mkoa na Wilaya kujadili mbinu na mikakati ya kukabiliana na janga la ugonjwa wa corona  kilicho fanyika hivi karibuni katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma.

Baadhi ya maagizo hayo ni  Wakuu wa Wilaya wote kuzuia mipaka yote ambayo siyo rasmi kwa lengo la kudhibiti uingiaji na utokaji holela wa wageni.

kukagua maduka kwania ya   kubaini bei za vifaa vya kujikinga na maabukizi ya virus vinavyosababisha ugonjwa wa corona kama vinauzwa kwa gharama kubwa na endapo wakibaini ,wawachukulie  hatua za kisheria.

Amesema maeneo yote ya kutolea huduma, stendi, sokoni ,na maeneo yote yenye mikusanyiko ya watu yawekewe vitakasa mikono na wale wote wanaokiuka maagizo ya wataalamu wa Afya  wachukuliwe hatua, sambamba na wanaopotosha umma kuhusu ugonjwa wa corona wanachukuliwa hatua

“Minada na shughuli nyingine za kiuchumi ziendelee na wananchi wasitishwe kuhusu ugonjwa wa corona bali waendelee kupewa elimu kuhusu corona” .Alisema Mndeme

Maagizo mengine ni kuhakikisha maeneo ya stendi yanapuliziwa dawa kwakutumia magari na mabomba ya kupulizia dawa kwa mikono

Aidha Mganga Mkuu wa Mkoa  wa Ruvuma Dr Jairos Khanga ametoa wito  kwa wananchi  kuchukua tahadhari ya kujikinga dhidi ya janga la ugonjwa wa corona kwakuzingatia maelekezo yanayotolewa na wataalam wa afya na kupuuza habari zinazosambazwa na mitandao ya kijamii nyingine zikiwa za upotoshaji.

Amesema kinga namba moja ni usafi wa mazingira yanayotuzunguka na kutakasa mikono mara kwa mara kwakutumia maji yanayo tiririka na sabuni, kutosogeleana, kupeana mikono sambamba na kutumia kiwiko cha mkono unapopiga chafya ili kuepuka maji maji yanayotoka puani au mdomoni kwenda kwa mwingine.

Naye Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Ruvuma Mhe Oddo Mwisho ametoa rai kwa kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mkoa kufanya ziara za kutembelea mipakani na kufanya ulinzi shirikishi lengo likiwa kukabiliana na wageni wanaoingia na kutok nchini kiholela ambao wanaweza kuleta athari za maambukizi zaidi

JACQUELEN CLAVERY

K /AFISA HABARI SONGEA DC

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa