• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

PROF NDALICHAKO APONGEZA JITIHADA ZINAZOFANYWA KATIKA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UJENZI WA CHUO CHA UFUNDI STADI NA MAREKEBISHO KWA WATU WENYE ULEMAVU KILICHOPO WILAYANI SONGEA

Tarehe ya Kuwekwa: August 25th, 2023

Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi VijanaAjira na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Lazaro Ndalichako  (MB) leo 24/08/2023,  ametembelea Mradi wa Ujenzi wa Chuo cha UfundiStadi na Marekebisho kwa Watu wenye ulemavu, kilichopo Kata ya Liganga, Halmashauri ya Wilaya yaSongea na kupongeza Jitihada zinazofanywa nawataalam katika kukamilisha mradi huo. 

Mradi huu unatekelezwa kwa Awamu mbili,  ambapoawamu ya kwanza utajumuisha  ujenzi wamiundombinu ya vyumba na Madarasa (10)  bwenilenye uwezo wa kuchukua wanafunzi arobaini (40)  pamoja na nyumba moja yenye uwezo wa kuishifamilia tatu ( three in one). Mradi unatekelezwa kwanjia ya Force account na hadi kukamilika, ujenziutagharimu Tsh 1,000,000,000

Baada ya kupata Taarifa ya mradi kutoka kwaMkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya yaSongea Ndg Neema Maghembe,Mh. Waziri alizunguka alizukunga kukagua kazi zinazofanywa na mafundi,pamoja na ubora wa majengo. Baada ya hapo Mh. Prof. Ndalichako, alipata nafasi ya kuzungumza na wadauwalikuwepo eneo hilo.

“Mkurugenzi nimepokea taarifa yako ambayo kwahakika imejieleza vizuri, jinsi mradi unavyotekelezwa.Lakini nimeona pia kazi inavyoendelea kwa hiyonikupongeze kwa kazi inavyofanyika, ambayoinafanyika kwa ubora na kwa kiwango kizuri, naaminikwamba mtaweza kuikamilisha kwa muda mliopanga”

Pamoja na mambo mengine Mkurugenzi Mtendajialitoa changamoto ambazo zimekuwa zikikwamishamradi kwenda kwa wakati, ikiwa ni pamoja na kukosamaji, kutokana na chanzo cha maji kuwa mbali na eneola Mradi, kuongezeka kwa gharama za vifaa nagharama za usafirishaji kutoka eneo la mjini (sokoni)kuelekea eneo la kijiji ambapo mradi huounatekelezwa.

Akielezea changamoto hizo, Mh. Prof Ndalichakoalisema “ Changamoto mlizotoa nimezipokea, na nipona mkurugenzi anaeshughulika na maswala ya watuwenye Ulemavu, ambaye ndiye msimamizi mkuu wamradi huu, hivyo naomba hizo changamoto azipokeena ahakikishe anazifanyia kazi.”

Lengo la Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania ni kuhakikisha watu wenye Ulemavuwanapata fursa za kupata Elimu, na Mafunzo yaUfundi Stadi, Chuo hiki ni cha ufundi Stadi namarekebisho, hivyo lengo pia ni kuwafanyiamarekebisho ya kuwapunguzia makali ya ulemavu auMwenyezi Mungu akipenda, Ulemavu ukaondokakabisa hii ndio dhamira ya dhati ya Mh. Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan

Aidha Mhe. Ndalichako alimpongeza, Mhe. Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anazozifanya zakuleta maendeleo na mabadiliko makubwa katika nchi yetu katika  Nyanja mbalimbali. ‘‘TumpongezeMheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Mhe. Jenista Joakim Mhagama Waziri wa Nchi Ofisi yaWaziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu kwa kazi kubwaanayoifanya ya kuhamasisha wananchi kuletamaendeleo katika Jimbo la Peramiho’’. 

 

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa