• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MWENYEKITI CCM Wilaya Ndugu Thomas Masolwa azungumza na watumishi Songea DC

Tarehe ya Kuwekwa: November 4th, 2022

 MWENYEKITI Wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya Ndugu Thomas Masolwa amewataka wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea kuendeleza uwajibikaji katika Idara zao.

Ameyasema hayo wakati akizungumza na wakuu wa Idara katika ukumbi wa mikutano Lundusi- Peramiho akiambatana na Katibu wa Chama, Katibu mwenezi wa Chama, Mwenyekiti Jumuiya ya wazazi Songea Vijijini, Mjumbe wa Kamati ya Siasa Wilaya na Katibu wa Umoja wa Vijana.

Lengo lilikua ni kuja kusalimiana na kuja kutambulisha Viongozi kwa watumishi wa Halmashauri ambao walichaguliwa katika uchaguzi uliofanyika hivi karibuni. 

Ndugu Thomas amewasisitiza watumishi kuwa na Umoja na mahusiano mazuri baina yao na watu wanaowaongoza ili Halmashauri iweze kwenda mbele Zaidi kwa maendeleo.

Aidha amewapongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama kwa kufanya mambo makubwa yanayojenga Halmashauri na kutekeleza miradi mbalimbali.

Pia amewapongeza Baraza la Madiwani wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Menas Komba, Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Neema Maghembe pamoja na timu ya wataalamu kwa usimamizi mzuri wa miradi inayotekelezwa.

‘’Napenda kutoa rai kwenu tuendelee kuchapa kazi kwa kushirikiana na Viongozi wa Kata na Kijiji jitumeni Zaidi katika kutekeleza na kusimamia vizuri miradi pia kuwa na tabia ya kusikiliza changamoto za wananchi na kuwapa majibu ambayo yanaenda kutatua changamoto zao hii italeta heshima kubwa katika Halmashauri yetu’’, amesisitiza Ndugu Thomas.

Kwaupande wake Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Menas Komba amemshukuru Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi kwa maneno mazuri ya kutia moyo na kuahidi maelekezo yote aliyoyatoa yamezingatiwa.

‘’Maelekezo yote uliyoyatoa tumeyazingatia hatutakuangusha na tunakuahidi tunaenda kuongeza weledi na usimamizi mzuri na majibu yote tunaenda kuyaonesha kwa vitendo’’, amesema Mhe.Menas.

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndugu Neema Mghembe amewapongeza Viongozi wote wa Chama waliochaguliwa katika uchaguzi uliofanyika ameahidi kutekeleza yote yaliyosemwa na kuwapa ushirikiano katika kuhakikisha kwamba Halmashauri Hairudi nyuma.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa