• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Mradi wa maji katika kijiji cha Lilai wakamilika

Tarehe ya Kuwekwa: June 14th, 2019


MRADI wa maji katika Kata ya Muhukuru Lilahi Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma umekamilika na umeanza kutoa huduma kwa wananchi

Diwani wa Kata ya Muhukuru- Lilahi Simoni Kapinga ameyasema hayo  wakati anazungumza na wataalam wa Halmashauri hiyo mara baada ya kukagua mradi. .

Kapinga amesema kukamilika kwa mradi wa maji katika kata hiyo umesaidia kuongeza chachu ya maendeleo kama vile uandaaji wa matofari  kwa ajili ya  ujenzi wa nyumbani, kuboresha mazingira,kujiepusha na magonjwa ya matumbo na wanawake kutumia muda mwingi  kufanya shughuli nyingine za maendeleo.

“Bi Amina Juma ni mkazi wa kata hiyo anatoa shukrani kwa serikali kwasababu kwakipindi kirefu wamekuwa wakipata shida ya maji hivyo kukamilika kwa mradi huo umetupunguzia kero ya maji hasa sisi akinamama ambao tunatumia muda mwingi kupanga foleni ya kusubiri maji”,Alisema.

Kaimu mhandisi wa maji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Jeremia Maduhu ametoa wito kwa wanachi wa kata hiyo ambao bado huduma ya maji haiijawafikia kujitolea kuchimba mitaro kwa ajili ya kutandika mabomba na mafundi waanze kuwafungia maji, pia ameeleza maji yapo ya kutosha kutoka kwenye chanzo kwenda kwenye tanki na kuwa fikia wananchi.

Amewaataka wananchi kutunza miundo mbinu ya maji kwasababu wa nufaika wa huduma ya maji ni wao,endapo watafanya hujuma yoyote ya kuhujumu miundo mbinu ni sawa na kijihujumu wenyewe na kuendelea kupata kero ya huduma hiyo.

Mradi wa maji unaotoa huduma katika kata ya Muhukuru –Lilahi unatekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya Songea kwa kushirikiana na wamisionari wa Abasia ya Hanga 

JACQUELEN CLAVERY-K/ AFISA HABARI

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa