• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MPANGO na bajeti 2021/2022

Tarehe ya Kuwekwa: February 22nd, 2021

MPANGO na bajeti

 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma  Mhe .Menas Komba amewaagiza wakuu wa idara na vitengo kutumia kila mbinu kuhakikisha ukusanyaji wa mapato unaongezeka.

Komba ametoa maagizo hayo wakati akifunga mkutano maalum wa baraza la madiwani la kupitisha mpango na bajeti  ya Halmashauri  kwa mwaka wa fedha 2021 / 2022 uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri.

Mhe. Komaba amesema wakuu wa idara na vitengo  watumie kila mbinu pamoja na mpango kazi utakao onyesha mkakati wa ukusanyaji wa mapato kwa kila idara na kitengo.

Akiwasilisha mpango  na bajeti  ya maedeleo ya Halmashauri  kwa mwaka 2021/2022-2023/2024 Afisa mipango wa Halmashauri hiyo Athumani Nyange amesema Halmashauri imekasimia kukusanya na kutumia kiasi cha shilingi bilioni 28.1.

Nyange ametaja  vyanzo mbali mbali vya mapato kuwa ni mapato ya ndani,mishahara,ruzuku toka serikali kuu na ruzuku ya miradi ya maendaleo.

Amesema kwa mwaka wa fedha huo Halmashauri imepanga kutumia fedha katika maeneo yasiyo ruzuku na ya ruzuku na miradi ya maendeleo .

Ameongeza kwakusema bajeti ya Halmashauri imeongezeka kutoka ukomo wa shilingi bilioni 22.2 hadi kufikia bilioni 28.1 sawa na ongezeko la asilimia 26.5 sababu ya ongezeko hilo kuwa ni ukomo wa bajeti ya mishahara na ukomo wa bajeti ya makusanyo ya mapato ya ndani.

Amevitaja vipaumbele vya bajeti  ya mwaka 2021/2022 kuwa ni kukamilisha miradi viporo,kuajiri watumishi wapatao 784,kuboresha na kuendeleza usafi wa mazingira,kupambana na tatizo la lishe,ujenzi wa miundo mbinu ya elimu sekondari na msingi,kukamilisha ujenzi wa zahanati tisa na vituo vya afya vinne na hospitali ya wilaya pamoja na kutengeneza madawati na viti 500 kwa  wanafunzi wa sekondari na msingi.

Imeandikwa na

Jacquelen Clavery Afisa habari

Songeadc

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa