• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma akagua miradi Songea DC

Tarehe ya Kuwekwa: June 27th, 2023

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya Boost, Swash na Lanes inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea leo Juni 27, 2023 ambapo amekagua miradi iliyopo katika Kata ya Parangu, Peramiho na Mpitimbi.

Miradi aliyoikagua ni Pamoja na mradi wa ujenzi wa vyoo matundu 15 (SWASH) unaotekelezwa kwa fedha kiasi cha shilingi milioni 37.6 kutoka Serikali Kuu, mradi wa ukarabati wa kituo cha walimu (TRC) unaotekelezwa kwa fedha kiasi cha shilingi milioni 22 na mradi wa madarasa mawili ya  Awali ya mfano na matundu ya vyoo unaotekelezwa kwa fedha kiasi cha shilingi milioni 66.3

Akizungumza Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa Kanali Thomas amewataka Viongozi, wataalam na wananchi kulinda na kusimamia miradi ipasavyo kwani baadhi ya mafundi wasiposimamiwa wanafanya kazi kwa kulipua na miradi inakosa ubora hivyo wajitahidi kuisimamia ili iweze kukamilika kwa viwango na ubora unaotakiwa.

‘‘Wananchi mnao wajibu wa kusimamia kwani hii miradi ni ya kwenu hivyo hakikisheni mnaisimamia vizuri ikamilike kwa ubora ili iweze kutumika kwa vizazi na vizazi’’, amesisitiza Kanali Thomas.

Aidha, Kanali Thomas amewasisitiza mafundi kuongeza kasi ya ujenzi ili madarasa na vyoo viweze kukamilika na kutumika na wanafunzi mara shule zitakapofunguliwa na amewataka wananchi zinapohitajika nguvu zao wawajibike ipasavyo.

Akizungumza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndg. Neema Maghembe kwa niaba ya uongozi wa Halmashauri ametoa shukrani kwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mhe. Jenista Joakim Mhagama kwa kuendelea kuleta fedha ambazo zinaboresha miradi ya maendeleo katika Halmashauri.

Vilevile ameishukuru ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa kuendelea kutembelea, kukagua na kushauri juu ya miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa