• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MKURUGENZI MTENDAJI AWAAGA RASMI WANAMICHEZO WANAOELEKEA KUSHIRIKI KIMKOA

Tarehe ya Kuwekwa: May 25th, 2024


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Bi Elizabeth Mathias Gumbo, jana 25.05.2024 aliwaaga rasmi wanafunzi wa Shule za Msingi waolikua kambi ya siku 15 kwanzia Tarehe 10.05.2024 hadi 25.105.2024 katika Halmashauri ya Wilayani Songea.

Wanafunzi hao ambao wanachiriki michuano ya UMITASHUMTA kwa sasa wanatoka kambi ya Wilaya na wanaeleke kambi ya Manispa kwa ajili kushiriki mashindano ya Umitashusmta kwa ngazi ya Mkoa.

Kabla ya kuagana nao, Bi Elizabeth alishiriki mbio ( Jogging ) zilizoanzia katika hosteli walipowekea kambi yao mpaka viwanja vya michezo ambapo ndipo walipokuwa wakifanyia mazoezi ya michezo mbalimbali.

Wanafunzi hao ambao wapo mia moja na kumi (110) Wasichana 55 na Wavulana 55, watashiriki michezo mbalimbali ikiwemo Mpira wa Miguu kwa Wavulana na Wasichana, Mpira wa Kikapu ( BasketBall), Mpira wa  mikono Handbaall, Mpira wa Nyavu ( Netball)

“Leo tunakwenda kuhitimisha kambi yetu kwa ngazi ya Wilaya, sasa tunakwenda ngazi ya Mkoa na baadae tutaelekea kambi ya Taifa. Kwa kweli napenda kumshukuru sana Mhe. Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kurudisha masomo ya michezo mashuleni ili kuimarisha Afya yetu ya Akili pamoja na ubongo. Lakini pia tunamshukuru kwa kuruhusu mashindano haya ya Umitashumta kutoka ngazi ya Wilaya na sasa yanenda ngazi ya Mkoa na baadae Taifa

Kwa upande wa walimu ambao wamekua wakiwafundisha wanafunzi hao ( Wanamichezo) wamemuhakikishia mkurugenzi kwamba watatetea Ubingwa wao lakini pia watarudi na Makombe ya Kutiosha

“Tumejiandaa vya kutosha, tumefanya mazoezi kiufupi tupo vizuri sana. Vijana wapo vizur na tunakuahid Mkurugenzi tutaenda kutetea ubingwa wetu na kuja na makombe ya kutosha" alisema Mwl. Manya

Mkurugenzi ameahidi zawadi kwa washiriki wote kama watachukua ubingwa wa mishuano hivyo, na kwa kukazia hilo amewapa washiriki wote Tracksuit na vitu vyote muhimu ambavyo wanahitaj ili watumie wakiwa kambi ikiwemo mchele Sukari unga nk

Amewataka walimu wote watakaokua na wanafunzi hao wahakikishe wasisitiza nidhamu kwa wanafunzi lakini pia kuhakikisha wanamichezo hao wasafi kwani nalo ni moja ya ushindani.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa