• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MKURUGENZI AMPONGEZA RAISI KWA UTARATIBU MZURI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU

Tarehe ya Kuwekwa: December 10th, 2023


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mwl. Neema M Maghembe amempongeza Mhe.  Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuweka utaratibu mzuri wa maadhimisho ya siku ya uhuru wa Tanzania Bara kwa Kila Mkoa na kila wilaya.

Ameyasema hayo wakati akihutubia wananchi mbalimbali waliojitokeza katika kilele cha maadhimisho ya siku ya uhuru wa Tanzania Bara yaliyofanyika 9 Disemba 2023 katika Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea ambapo pamoja na mambo mengine amewataka wananchi kutumia fulsa zilizopo kujikwamua kiuchumi ili kuendelea kuuenzi uhuru tulionao. Amesema

“ Labda niseme tu ndugu zangu tunapo adhimisha sherehe hizi tunatakiwa kutafakari maendeleo na hatua tuliyo piga toka tupate uhuru mpaka sasa lakini naamini kila mmoja wetu hapa ni shuhuda wa hatua za kimaendeleo tulizopiga mpaka sasa huhitaji kusimuliwa kila mmoja anaona, binafsi nampongea Mhe Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanania kwa juhudi anazozifanya katika kuwaletea maendeleo Watanzania, vilevile Nampongeza kwa kuchukua hatua hii ya kusema kila mkoa Uadhimishe siku hii kwenye mkoa husika hii inatoa nafasi kwenu ninyi wananchi kutafakari maendeleo yanayofanyika katika maeneo yenu. Nami  nawaalika ndugu zangu wananchi kutafakari uhuru huu tulionao kwa kutumia fulsa zilizopo katika maeneo yetu ili kuondokana na hali duni za kimaisha”

Pia katika maadhimisho hayo yaliambatana na mijadala mbalimbali iliyowasilishwa na watoa mada ambapo wananchi waliojitokeza waliweza kuchangia mada hizo,ambapo  kitengo cha maendeleo ya jamii kiliwasilisha mada iliyosema KATAA UKATILI KUWA SHUJAA ikiwa inalengo la kupinga ukatili wa kijinsia  hivyo wadau mbalimbali walijitokeza na kusema namnagani ukatili unafanyika , maeneo yanayofanyika ukatili, watu gani wanafanyiwa ukatili na sehemu ambayo unaweza kuripoti ikiwa umefanyiwa ukatili.

Maadhimisho haya ya siku ya Uhuru wa Tanzania Bara yalikuwa na kaulimbiu isemayo “MIAKA 62 YA UHURU, UMOJA NA MSHIKAMANO NI CHACHU YA MAENDELEO YA JAMII YETU”

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa