• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MFUMO WA NeST UMEBORESHA UWAZI NA UWAJIBIKAJI KATIKA MANUNUZI YA UMMA

Tarehe ya Kuwekwa: July 21st, 2025

.

Matumizi ya mfumo wa kielektroniki wa Ununuzi ya Serikali yaani national e Procuament System of Tanzania (NeST) yalioanza rasmi Oktoba 01, 2023, yameleta mapinduzi makubwa katika kuongeza uwazi na kupunguza mianya ya rushwa pamoja na kuongeza uwajibikaji katika mchakato wa manunuzi ya umma.

Akizungumza katika mahojiano maalum yaliyofanyika ofisini kwake leo Julai 21, 2025, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha ununuzi na Ugavi Ndg.  Raymond Joseph alisema kuwa mfumo huo umekuwa chachu ya mabadiliko chanya tangu ulipoanza kutumika huku  akieleza kuwa kila hatua ya mchakato wa manunuzi unarekodiwa na hivyo kurahisisha ufuatiliaji na ukaguzi.

“Mfumo huu umesaidia sana ukilinganisha na mfumo wa zaman, Kwanza kabisa umeongeza uwazi na uwajibikaji kwani kila hatua ya mchakato inarekodiwa, hii inarahisisha sana ufuatiliaji na ukaguzi wa manunuzi kwa sababu hakuna kitu kinachofanyika nje ya utaratibu,” alisema.

Katika hatua nyingine, alitaja baadhi ya faida za mfumo wa NeST kuwa ni pamoja na kupunguza matumizi ya karatasi ambayo yalikuwa yakigharimu sana Serikali kupitia mfumo wa awali, kupunguza shughuli zisizo na tija, imeongeza utunzaji wa mazingira kupitia kutotumia karatasi kwa wingi, kuokoa muda, pamoja na kupunguza mrundikano wa kazi kwa watumishi wa umma.

Aidha, Ndugu Raymond alieleza kuwa utekelezaji wa mfumo wa NeST katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea umeendelea kuleta mafanikio, ikiwa ni pamoja na kuwahamasisha wazabuni wadogo kushiriki katika michakato ya zabuni kwa ujasiri na uaminifu.

“Mfumo huu umeongeza motisha kwa wazabuni wadogo kwani hakuna tena upendeleo au mfumo wa kumkumbatia mzabuni fulani. Kila kitu kinaendeshwa kwa uwazi, Tunawahimiza wazabuni wote kuomba zabuni pindi zinapotangazwa kwani kila mmoja ana nafasi sawa,” alisisitiza.

Mfumo wa NeST ni mojawapo ya jitihada za Serikali ya Tanzania kuhakikisha matumizi ya fedha za umma yanazingatia misingi ya uadilifu, uwazi na uwajibikaji kwa lengo la kuhakikisha thamani ya Fedha (value of money) na maendeleo ya wananchi kupitia manunuzi yenye tija.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • STENDI MPYA NA YA KISASA YA PARANGU, YAANZA KUONESHA NURU

    October 23, 2025
  • WATAHINIWA 5157 WA DARASA LA NNE SONGEA DC, WAANZA MITIHANI YAO LEO

    October 22, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA AWASISITIZA WANANCHI / WATUMISHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29, 2025

    October 21, 2025
  • SERIKALI YAIMARISHA HUDUMA ZA AFYA SONGEA DC: ZAIDI YA MILIONI 891 ZATOLEWA KUJENGA VITUO VIPYA VYA AFYA

    October 18, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa