• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI RUVUMA KUANZA TAREHE 17.04.2023, KUKABIDHI 25.04.2023.

Tarehe ya Kuwekwa: February 25th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal. Laban Thomas amewataka viongozi na Wataalamu Mkoani Ruvuma kuhakiksha wanafanya ukaguzi wa  nyaraka za miradi yote itakayotembelewa na mwenge ili kujiridhisha na hatua ya  utekelezaji wa mradi husika.

Amesema kila kiongozi katika nafasi yake anapaswa kuwajibika katika kutekeleza   majukumu yake ya kazi ikiwemo   na kujenga ushirikiano katika kusimamia  miradi yote inayotekelezwa ngazi ya Halmshauri na kufikia lengo lililokusudiwa.

Hayo yamejili  katika kikao cha maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 Mkoani Ruvuma kilichofanyika leo tarehe 24 Februari katika ukumbi wa Manispaa ya Songea ambapo kilihudhuriwa na viongozi ngazi ya Mkoa, Wakuu wa Wilaya, Mkatibu tawala Wilaya, Wakurugenzi wote, Waratibu wa Mwenge kila Halmashauri, pamoja na kamati ya ulinzi na usalama, kilichofanyika kwa lengo la  kupokea tathimini ya Mbio za mwenge wa Uhuru 2022 na maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2023.

Kanal. Laban amesema Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2023 Mkoani Ruvuma zitaanza rasmi tarehe 17 Aprili 2023, ambao Mwenge utapokelewa ukitokea Mkoa  wa Lindi na mapokezi yatafanyika katika kijiji cha Sauti  Moja,  Wilayani  Tunduru  ambapo utakimbizwa katika Halmashauri 8 nane na kukabidhiwa katika Mkoa wa Njombe  kijiji cha Kipingu tarehe 25 Aprili 2023.”Alibanisha”

Kwa mwaka 2022 Mkoa wa Ruvuma ulipokea Mwenge wa Uhuru  tarehe 08 April 2022 katika kijiji cha Lituhi Wilaya ya Nyasa na ulikabidhiwa kwa uongozi wa Mkoa wa Mtwara  tarehe 16 April  2022 katika kijiji cha Lumesule Wilaya ya Nanyumbu.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Oddo Mwisho amesema Chama cha Mapinduzi kina wajibu wa  kutembelea miradi na kufanya  ukaguzi wa   miradi yote inayotekelezwa na Serikali ili  kujiridhisha  kila  hatua ya mradi  katika  Halmashauri.

Komredi Oddo amewataka wataalamu wte Mkoani Ruvuma kuhakikisha wanaweka kumbukumbu za kila mradi ambao utatembelewa na Mwenge ili kujirisha na utekelezaji wake.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa