• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MBIO za Mwenge maalum wa Uhuru 2021 zawataka Watendaji kuwa waadilifu

Tarehe ya Kuwekwa: September 7th, 2021

Kiongozi wa Mbio za Mwenge maalum wa Uhuru 2021 Luteni Josephine Mwambashi amewataka viongozi na watendaji wa serikali wanaopewa dhamana ya kusimamia ujenzi wa miradi mbalimabali   kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao ipasavyo na wananchi wanapata huduma.

Luteni Mwambashi ametoa kauli hiyo katika Mbio za Mwenge maalum wa Uhuru katika Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma zilizofanyika hivi karibuni.

 Luteni Mwambashi amesema serikali imekuwa ikiungamkono jitihada za wanachi katika ukamilishaji wa ujenzi wa miradi mbalimbali hivyo watendaji wanaopata dhamana ya usimamizi na ufuatiliaji wa miradi watekeleze na wakamilishe miradi hiyo na wananchi waweze kupata huduma.

“Ndugu zangu nasistiza kwamba serikali yetu inatujali sana kwakuhakikisha kwamba tunapta huduma muhimu lakini pia kutuunga mkono ili tusikatishwe tamaa kwamiundombinu ambayo tuliyoianzisha”,amesisitiza Luteni Mwambashi.

Luteni Mwambashi ametoa wito kwa wananchi kuendelea kulinda miundo mbinu ambayo imejengwa katika makazi yao ili iendelee kutoa huduma.

Awali akipokea Mwenge maalum wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololeti  Mgema amesema Mwenge wa Uhuru katika wilaya ya songea utakimbizwa takribani kilometa 205.8 zikijumuisha Songea, Manispaa na Madaba.

Mgeme ameongeza kwa kusema  jumla ya miradi tisa yenye thamani ya shilingi zaidi ya bilioni moja na milioni 600 itazinduliwa,kukaguliwa,kufunguliwa na kuwekewa jiwe la msingi.

Mgema ameitaja miradi ambayo mwenge maalum wa uhuru umeipitia kuwa ni miradi ya Afya,Elimu,Maji ukaguzi wa kisima cha jadi na kukagua shamba la miti la mtu binafsi ambalo linatoa fursa za kichumi kwa wananchi.

Imeandaliwa na kuandikwa na

Jacquelen Clavery.

Afisa Habari Songea DC.



Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa