• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MAFANIKIO ya Sekta mbalimbali ya Wilaya ya Songea katika miaka 61 ya Uhuru

Tarehe ya Kuwekwa: December 10th, 2022

TANZANIA hufanya maadhimisho ya Uhuru tarehe 9 Desemba kila mwaka. Katika siku hiyo mwaka 1961, Tanzania wakati huo Tanganyika ilipata Uhuru kutoka kwa Uingereza.

Katika kuadhimisha miaka 61 ya Uhuru Viongozi, Watumishi na Taasisi mbalimbali za Wilaya ya Songea walikutana katika ukumbi wa Manispaa ya Songea kwaajili ya kuelezea jitihada na mafanikio ya sekta mbalimbali yaliyofanywa na Serikali ya Tanzania ndani ya miaka 61 tangu Uhuru.

Akizungumza Mwalimu Juma Nyumayo ambae aliwasilisha mada ya Siasa na Uongozi amesema Kabla ya Uhuru Tanganyika ilitawaliwa na Waingereza ilipitia changamoto mbalimbali kama vile kunyongwa, kudharirishwa na kuteswa kama wanyama lakini baada ya Uhuru kupitia Vyama vya Siasa kama TANU chini ya Rais wa kwanza Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwaongoza Vyema Watanganyika kwa kushirikiana na Viongozi wengine ambao hawakuwaingiza Watanganyika tena kwenye vita kubwa.

Kwaupande wake Afisa Elimu Lucy Mbolu akiwasilisha mada ya Elimu na Afya katika Wilaya ya Songea amesema kabla ya Uhuru utoaji wa elimu ulikua na ubaguzi na taasisi za kutolea huduma za Elimu zilikua chache, kwa Wilaya ya Songea Shule za msingi zilikua 17 na Sekondari zilikua 2 lakini baada ya Uhuru Serikali ilihakikisha Watanzania wanapata Elimu ambapo hadi sasa Wilaya ya Songea ina jumla ya shule za msingi 205 na Sekondari 76.

Hatahivyo katika Sekta ya afya hospitali zilikua 2 na Zahanati chache lakini baada ya Uhuru Wilaya ina hospitali 3, vituo vya afya 17 na zahanati 75 pia Hospitali na vituo vingine vya afya vinaendelea na ujenzi.

Nae Mhandisi Mlavi akiwasilisha mada ya Miundombinu, Mawasiliano na Nishati amesema kabla ya uhuru hali ya barabara haikua nzuri hata katika kusafiri gharama kubwa zilikua zikitumika na muda mrefu watu walikua wanatumia wakiwa njiani lakini baada ya Uhuru hali ya Miundombinu imekua nzuri na hiyo imebadilisha hali ya Kiuchumi katika maeneo mengi.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 28 VAPATIWA MIKOPO YA TSH MILIONI 249 NA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    July 03, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 600 ZIMETUMIKA KUJENGA STEND YA KISASA PERAMIHO

    July 01, 2025
  • Ujenzi wa Mradi wa Barabara Likuyufusi–Mkenda ni fursa mpya ya Maendeleo ya Songea Dc.

    June 20, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI WASISITIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UFANISI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO SONGEA DC

    June 19, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa