• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MADIWANI Songea wapata mafunzo elekezi ya kazi

Tarehe ya Kuwekwa: October 26th, 2021

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma wamepatiwa mafunzo elekezi ambayo yatawasaidia kuongeza uelewa,uwezo wa kusimamia na kuongoza katika utekeleza wa majukumu yao kazi.

Mafunzo hayo yamefundishwa na wakufunzi kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo ambacho kipo Jijini Dodoma,mafunzo yaliyofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa Halmashauri hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Songea Mhe. Pololeti Mgema akifungua mafunzo hayo amesema mafunzo hayo kwa madiwani jambo la msingi na la muhimu kwasababu yatawasaidia kuongeza uelewa katika nafasi zao za uwakilishi na utumishi kwenye maeneo yao ya utawala.

Amewataka madiwani hao kuzingatia kanuni,taratibu na sheri sanjari na kujenga ushirikiano baina ya watendaji na wananchi wanaowawakilisha kwa lengo la kutekeleza majukumu ya Serikali kwa umoja.

Moja ya madiwani walioshiriki mafunzo kutoka Kata ya Liganga Mhe. Filbert  Soko amesema mafunzo hayo yamewaongezea uelewa wa kutamnbua  kila mtu anatakiwa kufanyanini kwenye eneo lake na nafasi yake katika utumishi.

Kwa upande wake mmoja wa wakufunzi  wa mafunzo hayo Charles Matekele amewashauri madiwani hao kuzingatia miongozo na taratibu ambazo zitawasaidia kujiepusha na hoja za kiugaguzi ambazo zitaweza kusababisha kupata hati chafu au yenye mashaka katika swala la usimamizi mzuri wa fedha.

Mafunzo hayo yamejikita katika mada mbalimbali zinazogusa masuala mtambuka ya usimamizi na uendeshaji wa shughuli za maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, Baadhi ya mada hizo ni uongozi na utawala bora.

Halmashauri ya wilaya ya songea inajumla ya madiwani 24 kati ya hao 16 ni madiwani wa kata na madiwni sita ni wavitimaalum.

Imeandikwa na

Jacquelen Clavery

Afisa Habari

Songea DC

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa