• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AWEKA JIWE LA MSINGI KWENYE MRADI WA MAJI SONGEA DC

Tarehe ya Kuwekwa: June 10th, 2024

Mwenge wa uhuru leo 10/06/2024, imeingia rasmi Halmashauri ya Wilaya ya Songea ukitokea Halmashauri ya WIlaya ya Namtumbo, ambapo uLipokelewa katika kijiji cha Lipaya kata ya Mpitimbi na kukagua, kuzindua na kuweka jiwe la msingi katika miradi mbalimbali iliyopo halmashaauri ya wilaya ya songea

Aidha kiongozi wa Mbio za mwenge Ngd. Godfrey Eliakim Mnzava amekagua miradi mbalimbali ikiwemo Mradi wa Maji katika kijiji cha Lipaya. Mradi huo unaotekelezwa na Kampuni y a RJ MUSA CONSTRUCTION CO.LTD ambapo gharama za Mradi huo wa Maji uliopo kijiji cha Lipaya umegharimu kiasi cha shilingi 1,936,886,234.85.

Akiwa kwenye Mradi huo wa Maji Mhe Mkuu wa Wilaya Kabla ya kumualika kiongozi wa Mwenge kwa ajili ya kuweka jiwe la msingi,  alimshurukuru Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mhe Jenista Joakim Mhagama kwa jitihada zake katika kuibua mradi huu wa maji

“ kiongozi wa mbio za Mwenge, awali ya yote nitoe shukrani kwa Mbunge wa jimbo hili, Mhe.    Jenista Mhagama. Mhe Mbunge ndie muanzilishi wa mradi huu akishirikiana na wananchi na walianzisha kwa Lita elf sabini na sita 76,000 ambapo sisi kama Serikali kuu tuliongezea lita laki moja baada ya kuona jitihada za mbunge. Baada ya kusema haya Mhe. Nikukaribishe useme neno ikiwa ni pamoja na kuweka jiwe la msingi

Nimefurahi kuona mradi huu wa maji unaendelea, nimefurahi pia kuona namna Wilaya yetu inaendelea kutekeleza miradi ya maji kwa Wananchi, malengo ya Dkt. Samia Suluhu Hassani ni kuona wananchi wanapata Maji safi na salama, lakini pia ya uhakika.

Baada ya kupokea taarifa tumekagua miundombinu yenyewe jinsi ambavyo mmetelekeza, lakini pia tumekagua nyaraka mbalimbali zinazoonesha matumizi ya fedha.  Hivyo basi Mhe Mkuu wa Wilaya baada ya kupitia kila kitu ikiwa ni nyaraka pamoja miundombinu, Mwenge wa uhuru umelidhika ya kwamba kazi mmeifanya vizuri”

Kiongozi wa mwenge pia alifurahishwa na namna jinsi utaratibu wa manunuzi kupitia Mfumo wa NeST ulivyozingatiwa na baada ya kujilidhisha na mambo ya Msingi, Mhe. Godfrey Manzava alilidhia kuweka jiwe la msingi

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa