• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Wenyeviti wa vijiji na vitongoji waapishwa

Tarehe ya Kuwekwa: December 2nd, 2019

Mkuwa wa Wilaya ya Songea Pololeti Mgema ameagiza hatawavumilia Wevyeviti wa Vijiji na Vitongoji watakao kuwa wazembe katika kusimamia na kuhamasisha shughuli za maendeleo katika maeneo yao ya kazi au wao kuwa sehemu ya migogoro.

Pololeti ametoa maagizo hayo katika hafla fupi ya kuwaapisha Wenyeviti wa Vijiji,Vitongoji,wajumbe wa Serikali ya Kijiji iliyofanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Maposeni katika Mji mdogo wa Peramiho hivi karibuni.

Pololeti amesema viongozi wasimamie na kuhamasisha shughuli za maendeleo kama vile ujenzi wa miundo mbinu ya shule, miradi ya maendeleo ambayo ipo katika maeneo yao ya utawala na kuwahamasisha wananchi kushiriki katika kazi za kujitolea pale wanapotakiwa kujitolea pia hatawavumilia viongozi wazembe ambao wanasubiri kuhamasishwa kutekeleza majukumu yao.

“Hakuna mtu atakaye tuletea maendeleo tutayaleta wenyewe wananchi kwa kushirikiana na Serikali”alisema Pololeti.

Halmashauri ya wilaya songea ina Vijiji 56 sawa na wenye viti 56, ina Vitongoji  443 sawa wenyeviti 443 wa Vitongoji pamoja na wajumbe wa serikali ya kijiji.

Bw Waniwiki Shawa ni moja ya Wenyeviti wa Viijiji kutoka kijij cha LITOWA amesema yupo tayari kukabiliana na changamoto na kuzitafutia ufumbuzi kwakushirikiana na kamati yake ya Serikali ya Kijiji pamoja na wananchi na kusimamia shughuli za maendeleo katika Kijiji chake.

Awali akiwaapisha Viongozi hao Hakimu wa Mahakama ya mwanzao Happiness Shelembi amewashauri kulinda na kuangalia ukomo wa madaraka yao ,kwasababu baadhi yao wamekuwa wakikiuka ukomo wa madaraka yao na kutoa hukumu ambazo hazistahili kutolewa na wao kitendo kinacho kwenda kinyume na taratibu , kanuni na sheria za Nchi.

JACQUELEN CLAVERY –KITENGO CHA TEHAMA -HABARI

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa