• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

KAYA masikini zatakiwa kuibua miradi itakayoimarisha uchumi wa wananchi Wilaya ya Songea

Tarehe ya Kuwekwa: May 20th, 2021

Mratibu wa TASAF wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Rumavu Hossana Ngunge amezitaka kaya masikini kuibua miradi itakayo imarisha uchumi  wa wananchi na endelevu ambayo itanufaisha jamii nzima siyo walengwa tu tatika kipindi cha utekelezaji wa miradi ya TASAF awamu ya tatu kipindi cha pili cha mwaka 2021.

Ngunge amesema katika kipindi cha awali miradi iliyokuwa ikiibuliwa ilikuwa haiwanufaishi wananchi wote bali ilikuwa inamnufaisha mlengwa au kikundi cha walengwa wanao husika na huo mradi kitendo ambacho Serikali imekiona hakina tija katika kuimarisha uchumi wa wananchi.

“Miradi unayotakiwa kuibua ni miradi itakayo wanufaisha wananchi wote siyo walengwa tu”,amesisitiza Ngunge.s

Ngunge ameitaja baadhi ya miradi ambayo kaya hizo zinaweza kuibua ni pamoja na ujenzi wa vivuko vidogovidogo,kilimo cha mazao ya kimkakati,utengezaji wa barabara za vumbi na ukarabati wa visima vya jadi.

Ameongeza kwakusema zoezi la kuibua miradi ya kaya masikini limeanza Mei 17 ,2021 kwa Vijiji 32 ambavyo vilikuwepo kwenye mpango kuanzia awali na Vijiji 24 vinaendelea kufanyiwa uhakiki ili navyo viingizwe kwenye mpango wa kunusuru kaya masiki Nchini cha awamu ya tatu kipindi cha pili.

Ngunge ameyataja makundi ya walengwa wanaostahili kupata ruzuku kupita TASAF bila kufanya kazi kuwa ni kundi la wazee wenye umri wa zaidi ya miaka 65 watoto chini ya miaka 18,akinamama wajawazito na wagonjwa.

Kaya zenye uwezo wa kufanya kazi zita wajibika kufanya kazi na kulipwa ujira wa shilingi 3000 kwa siku, ndani ya  mwezi mmoja wanatakiwa kufanya kazi siku 10 na kipindi cha ukamishalishaji wa mradi ni  miezi sita sawa na siku 60 za kazi.

Wakiongea kwaniaba ya wanakaya wenzao wanakaya wa Kijiji cha Mpitimbi (A) wamesema wanakubaliana na utaratibu na miongozo inayotolewa  na serikali nao wapo tayari kufanya utekelezaji wake.  

Halmashauri ya Wilaya ya Songea inajumla ya Vijiji 56 ambavyo vyote vitaingizwa kwenye mpango baada ya zoezi la uhakiki kukamilika kwa Vijiji 24 kulingana na utaratibu wa Serikali wakutaka kuzifikia kaya masikini kwa asilimia miamoja katika awamu ya tatu kipindi cha pili cha 2021.

Imeandikwa na

Jacquelen Clavery  

SongeaDC

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa