• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

KAMATI YA FEDHA YAMPONGEZA MKUU WA SHULE YA SEKONDARI YA MPITIMBI

Tarehe ya Kuwekwa: April 16th, 2024


Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango, iliyoongozwa na Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mhe Simon Kapinga, imempongeza Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Mpitimbi kwa usimamiz mzuri wa miradi ya maendeleo katika eneo lake la kazi

Pongezi hizo zimetoleo leo tarehe 16.04.2024 wakati kamati hiyo ilipopita katika shule ya hiyo na kukagua ujenzi wa bweni jipya la wasichana lililopo ndani ya Shule hiyo.

“ Shule ya Sekondari Mpitimbi ni miongoni mwa shule za Sekondari zinazotekeleza mpando wa shule salama chini ya SEQUIP, hivyo ilipokea kiasi cha Shilingi 128,000,000/= (milioni miamoja ishirini na nane tu) mnamo tarehe12.04.2023 kwa ajili ya ujenzi wa bweni moja pamoja na miundombinu yake ( Vitanda)  

Ujenzi ulianza rasmi mnamo tarehe 04.10.2023 na matarajio yetu ilikua kumaliza mnamo tarehe 04. 01. 2024 lakini kutoka na changamoto zimepelekea mradi kufikia hapa hadi sasa ila tupo kaika hatua za mwisho kabisa za umaliziaji” alisema Mwali mkuu wa Shule ya Sekondari Mpitimbi

Nae Kaimu mweyekiti wa kamati ya Fedha na wajumbe wake baada ya kukagua na kupitia taarifa, alisema “ kazi ya kamati ni kupitia kukagua na kushauri sehemu zenye mapungufu ili ziweze kufanyiwa kazi, lakini kwako tumejiridhishwa na utendaji wako wa kazi, jengo linaenda vizuri na linaenda kwa wakati. Tumetembelea miradi mingine kama hii yako nikupongeze huu wako unaenda vizuri na unatia moyo.

 Aidha kwa niaba ya Uongozi mzima wa Shule, Mkuu wa shule ya Sekondari Mpitimbi alimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia pesa kupitia Mradi wa

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa