• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

DKT SAMIA, K ARIBU RUVUMA, KARIBU HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

Tarehe ya Kuwekwa: September 20th, 2024


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajia kuwasili Mkoa wa Ruvuma mwishoni mwa mwezi huu, ikiwa ni utaraitibu wake wa kuongea na wananchi wake, pia atakua mgeni rasmi kwenye tamasha la tatu la utamaduni la kitaifa litakalofanyika kwenye viwanja vya Majimaji 23.09.2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan atazindua tamasha la tatu la utamaduni litakalofanyika Mkoa wa Ruvuma katika viwanja vya maji maji Julai 20-23 mwaka huu. Tamasha hilo limebebwa na kauli mbiu ya “ Utamaduni wetu ni utu wetu, tuuenzi na Kuuendeleza”

Tamasha la utamaduni ni moja ya maagizo ya Rais Samia, akiwa jijin Mwanza mwaka 2021 hivyo kwa utekelezaji wa agizo hilo msimu wa kwanza ulifanyika Dar Es Salaam mwaka 2022, msimu wa pili lilifanyikja mwaka jana Mkoa wa Njombe na huu ni msimu wa tatu ambayo utafanyia Mkoa wa Ruvuma

Matamasha haya yamekua na manufaa mbalimbali kwenye jamii ikiwa ni pamoja na kuenzi utamaduni wetu, kuimalisha utengamano wa taifa, kuitangaza nchi, kutangaza vivutio vya kiutalii na kiutamaduni, fulsa za kiuchumi, kiutamaduni na kijamii, pia kutanua wigo na mitandao ya kibiashara kwa bidhaa zinazozalishwa nchini hususan bidhaa za utamaduni, sanaa na ubunifu

Tamasha hili limeandaliwa na wizara ya Utamaduni, sanaa na michezo ikishirikiana na Taasisi ya maji maji Serebuka na litajumuisha michezo na maonesho mbalimbali kama vile Riadha, Mbio za baiskeli, kushindana kula na kunywa vinywaji na vyakula vya asili, burudai na kazi mbali mbali za sanaa ni miongoni mwa vitu vitakavyonogesha tamasha hilo

Tamasha hili litafungiliwa na Waziri wa utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro, Septemba 20, mwaka huu na kilele chake itakua septemba 23 mwaka huu na mgeni ramsi atakua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambapo lengo kubwa la tamasha hili la utamaduni pamoja na mambo mengine ni kuenzi utamaduni wetu, na pili kusisitiza umuhimu wa maadili katika Taifa la Tanzania

Aidha baada ya kumalizika kwa tamasha la utamaduni, Mhe. Rais ataanza Ziara katika wilaya sita za Mkoa wa Ruvuma, ambapo Ziara ya kwanza itaanza katika Wilaya ya Songea. Wilaya ya Songea ina Halmashauri tatu na majimbo matatu, Mhe. Rais atatembelea Manispaa ya Songea, Halmashauri ya Wilaya ya Songea na na kisha Madaba.

Kisha Dkt. Samia ataendelea na Ziara yake Wilayani Mbinga, Nyasa, Namtumbo, na Tunduru. Baada ya ziara hizo atahitimisha ziara yake tarehe 28.09.2024 kwa kufanya Matukio mawili, moja Mkutano wa ndani wa UWT Taifa na pili mkutano wa wananchi wote katika viwanja vywa majimaji ambapo ataongea na wanasongea, wanaruvuma na wananchi wote akiwa kwenye uwanja wa Majimaji.,

.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa