• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

DC. Mgema marufuku kutumia maeneo ya shule kuendesha shughuli za mnada

Tarehe ya Kuwekwa: April 20th, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololeti  Mgema amepiga marufuku kuendesha mnada  eneo la shule ya Msingi Kivukoni katika kijiji cha Nakawale -  Mkenda badala yake watumie soko la kimataifa la Nakawale  -Mkenda lililojengwa mpakani mwa Nchi ya Tanzania na Msumbiji.

Mgema ametoa kauli hiyo alipofanya ziara ya kikazi ya kutembelea  mpaka wa Tanzania na Msumbiji  na Soko la Kimataifa la Nakawale – Mkenda kwa lengo la kutoa msisitizo wa usalama wa  mpaka huo kufuatia ugojwa wa corona, hivi karibu.

“Serikali imewajengea soko  mnataka Serikali iwaletee bidhaa ,Serikali haifanyi biashara” Alisema Mgema.

Amewataka wananchi kuhamishia bidhaa zao katika soko hilo na shughuli zote za mnada, na kupiga marufuku kutumia eneo la shule kufanyia shughuli za mnada ilikuhakikisha soko hilolinafanya kazi iliyokusudiwa .

Wakiongea kwa niaba ya wananchi baadhi ya viongozi wa kijiji hicho wamemshukuru Mkuu wa Wilaya huyo kwa kuwapa ufafanuzi wa matumizi ya soko hilo kwani wao walikuwa hawaelewi kama wanatakiwa kutumia soko hilo,huku wakibaki kuliangalia tu.

Soko la Kimataifa la Mkenda limekamilika kwa asilimia kubwa huku tatizo likiwa niuwekaji wa miundo mbinu ya maji

Aidha wamemwambia Mkuu huyo wa Wilaya kuwa wanakabiliwa na janga la njaa baada ya mazao yao kusombwa na maji kufutia mfua kubwa zilizonyesha kuanzia mwezi Novemba  2019 hadi mwezi machi 2020.

Changamoto nyingine ni ukosefu wa mawasiliano ya simu jambo linalowapa shida kutoa taarifa kwa mamlaka zinahusika pindi wanapopata matatizo

JACQUELEN CLAVERY

AFISA HABARI SONGEA DC

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa