• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Bei za Pembejeo za Kilimo Halmashauri ya Wilaya ya Songea

Tarehe ya Kuwekwa: November 14th, 2017

Serikali imetangaza bei elekezi za pembejeo za kupandia na kukuzia kwa msimu wa kilimo wa mwaka 2017/2018 kwa mbolea aina ya dap na urea  ilikuondoa mkanganyiko wa bei  za mbolea.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya BW SIMONI BULENGANIJA ameyasema hayo  hivi karibuni

Bw Bulenganija amesema  kwa msimu wa kilimo  2017/2018   mbolea aina ya dap na urea  zitauzwa kwa bei ekekezi , urea itauzwa shilingi  41,693na dap itauzwa shilingi 54,272 na pembejeo zipo za kutosha, wakulima wache mashaka  juu yaupatikanaji wa pembejo hizo  katika Wilaya ya Songea badala yake waongeze bidii ya uzalishji wa mazao.

Bw Bulenganija ametoa rai kwa wakulima kununua pembejeo hizo kwenye vyanzo sahihi ikwemo ghala la serikali la mbolea (TFC) namawakala wanaotambuliwa kisheria ili kuepukana na knunua mbolea zisizo kuwa na ubora hali itakayo pelekea kupata mavuno kidogo au kapata hasara na kushindwa kufikia malengo tarajari.

Halmashauri ya Walaya Songea kwa msimu wa kilimo 2017/2018 inatarjia kuzalisha tani Zaidi ya laki mbili za mahindi sawa na ongezeko la asilimia 10 ukilinganisha na msimu uliopita wa kilimo  2016/2017

Adha amewataka wakulima kuzingatia maelekezo kutoka kwa wataalam wa kilimo kwa matokeo chanya ya mapato yao iliwaweze kujikwamua kiuchumi kwa mtu mmoja mmja, kaya na Taifa kwa ujumla.

Bw Bulengenija  amewahamasisha wakulima kulima mazao mbadala ambayo  ni kahawa na korosho mazao ambayo  yanastawi  ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea, kahawa inastawi  katika maeneo ya Liganga,Litisha na Mbinga muhalule,na korosho inastawi katika kata ya Lilahi, Muhukuru, Ndongosi,na Maposeni.

Halmashauri ya Wilaya ya Songea ni miongoni mwa Wilaya zinazo tegemewa kwa uzalishaji wa zao la mahindi mkoani Ruvuma hii nikutokana na kuwana udongo wenye rutba na hali ya hewa mchanganyiko pia uhidhi mzuri wa mazingira unaosimamiwa na serikali yaWilaya 

IMEANDALIWA  NA

JACQUELEN CLAVERY /AFISA HABARI

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa