• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WEZI wa nyanya za umeme kusakwa

Tarehe ya Kuwekwa: November 16th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Pololet Mgema ametoa maelekezo kwa jeshi la polisi la Wilaya ya Songea kuendelea kufanya uchunguzi wa kuwabaini wezi wanao hujumu miundombinu ya Shirika la umeme kwa kuiba nyaya zamashine za kupozea umeme “tansformer”.

Mgema ametoa maelekezo hayo katika kikao cha kamati ya ushauri cha Wilaya kilicho shirikisha Wilaya ya Songea Manispaa,Madaba na Songea DC kilichofanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Songea hivi karibuni.

“Naomba nitumie kikao hiki,OCD  endeleeni kufanya uchunguzi tukimpata yoyote anayehusika tuhakikishe hatarudia tena kufanya tukio hilo”,amesisitiza Mgema.

Mgema ameongeza kwa kusema, jeshi la polisi liendelee kufanya uchunguzi  na kuukamata mtandao mzima unajihusisha na hujuma za miundo mbinu ya shirika la umeme Tanzania kwa sababu kitendo hicho kinaisababishia serikali hasara na wananchi kukosa huduma ya umeme.

Kwa upande wake Meneja wa Shirika hilo mkoani Ruvuma Bi.Florence Mwakasege amewarai wananchi kushiriki katika ulinzi wa kulinda miundombinu ya TANESCO kwa kutoa taarifa za wizi  au wanapowatilia mashaka watu ambao siyo watumishi wa Shirika hilo wanapokwea kwenye mashine hizo.

Mwakasege amesema hujuma hizo tayari zimelisababishia hasara Shirika kwakutumia fedha ambazo zipo nje na utaratibu kwakukarabati miundombinu ambayo imeibiwa, wananchi kukosa huduma ya umeme kwakuwa nyaya hizo ndizozinazosambaza umeme kupeleka kwa watumiaji matumizi mabaya ya muda kwa watumishi kurudia kazi ambazo zilishafanyika.

Mwakasege ameyataja maeneo ambayo yamekithiri kwa wizi wanyaya hizo kuwa ni Peramiho na Songea Manispaa na nyaya ambazo zinaibiwa ni aina ya kopa ambazo zinaonekana kuwa na soko kubwa ukilinganisha na nyaya aina ya aluminiam.

Baadhi ya wakazi wa Peramiho wamesema kitendo hicho hakikubaliki katika jamii kwani umeme ni kichocheo cha maendeleo,watashiriki katika kulinda mali hizo na kutoa taarifa katika vyombo vya dola watakapotilia shaka kwa mtu yoyote atakaye jaribu kuhujumu miundombinu hiyo.

Imeandaliwa na kuandikwa na

Jacquelen Clavery

Songea DC.

 

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa