• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WAGOMBEA watakiwa kutumia lugha ya ushawishi katika kampeni

Tarehe ya Kuwekwa: August 21st, 2020

Wagombea watakiwa kutumia lugha ya ushawishi wakati wa kampeni.

MSIMAMIZI  wa uchaguzi wa jimbo la Peramiho, mkoani Ruvuma, Simon Bulenganija ametoa wito kwa wagombea   jimbo hilo kwa nafasi za udiwani na ubunge kuacha kutumia lugha za kuwakatisha taama wapiga kura  kwenye zoezi la uchukuaji wa fomu na kampeni

 Bulengamija ametoa wito wakati akimkabidhi fomu mgombea ubunge kupitia chama cha mapinduzi  Jenista Mhagama katika ofisi za jimbo la uchaguzi la Peramiho baada ya Halmashauri kuu ya Taifa ya chama hicho kumpendekeza kuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM.

Amesema  tunapoingia kwenye mikutano ya  kampeni za uchuguzi  ni vema  wagombea wa ubunge na udiwani wakatumia lugha za kuwashawishi  wananchi kujitokeza kwenda kupiga kura badala ya kutumia lugha za kuwakatisha tamaa wapiga kura.

Amesema mikutano ya kampeni pamoja na wagombea kuomba kura  pia aliwaasa watumie mikutano hiyo  kutoa elimu ya mpiga kura kwa wale wenye sifa ya kwenda kupiga kura na kuwachagua viongozi kwani watakuwa wametekeleza demokrasia kwa vitendo.

 “Tumesha maliza uchaguzi ” alisema Bulenganija

kauli kama hiyo inakatisha tamaa au inavunja utayari kwa wanachi wenye utayari wa kwenda kupiga kura na Taifa kushindwa kufikia adhima iliyojiwekea

Bulenganija amasisitiza kwa  kusema uchaguzi wa mwaka 2020 ni wa huru na haki hivyo kila mgombea na wananchi wakazingatia taratibu, kanuni, na sheria za Tume ya Taifa ya uchaguzi kama inavyo elekeza katika kipindi chote cha mchakato, kupiga kura, kuhesabu na kutangaza matokeo.

 Kwa upande wake mgombea ubunge  wa jimbo hilo la Peramiho, Jenista Mhagama baada ya kukabidhiwa fomu  na msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo, Bulenganija alisema kwa kujinadi  kuwa wakati Rais Dk John Magufuli akiwatuma  hakuna chama dhidi ya CCM kazi kubwa  aliyokuwa mbele yetu ni kuendelea kuwatumikia wananchi wa jimbo la Peramiho katika kuhakikisha  maendeleo yanasonga mbele katika sekta ya elimu, afya, maji, miundombinu ya barabara, kilimo na michezo kwa vijana.

 Pia amewashukuru  wanachama wa chama hicho cha CCM katika jimbo hilo la Peramiho kwa kumpa heshima kupitia kura za maoni hadi kuwa mgombea ubunge kwa kipindi kingine  hivyo na kuahidi ushindi wa kimbuka kwa madiwani, wabunge na Rais  Dk John Magufuli mkoani Ruvuma

Imeandikwana

Jacquelen Clavery

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa