• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO( FUM) IMEANZA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO SONGEA DC

Tarehe ya Kuwekwa: October 31st, 2024



Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango ikiongozwa na Mwenyekiti wake, ambaye pia ni Mwenyekityi wa Halmashauri Mhe. Menans Komba tarehe 30/10/2024 ilianza Ziara ya siku mbili ya ukaguzi wa miradi ya maendelea inayofanyika kwenye kata zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea .

Ziara hiyo ilianzia Kata ya Muhukuru, Kijiji cha Nakawale ambapo walikagua ujenzi unaoendelea katika Zahanati, kisha Jenista shule ya Msingi, Zahanati ya Mipeta, Shule ya Msingi Mbiro Shule ya Msingi Uramboni na Zahanati ya Kijiji cha Kizuka.

Akizungumza katika ziara hiyo, Mhe. Komba alisema “ kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango imeendelea na utaratibu wake wa kukagua miradi ya maendeleo, na leo tumepitia maeneo mbalimbali ambayo tulitoa maelekezo kwa wataalam kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati na kwa kujali fedha ya Serikali.

Leo tumekagua, tunaona mambo yanaenda vizuri, mafundi wapo na vifaa vipo, kazi kubwa imefanyika tumeendelea kuweka msisitizo kazi zote ziishe kwa wakati ili wananchi waendelee kupata huduma ya uhakika.

Tunaendelea kumshkururu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mhe. Jenista Mhagama kwa kweli wanafanya kazi kubwa kuhakikisha wananchi wao wanapata maisha bora.


Msisitizo mkubwa umewekwa kwa mafundi kuhakikisha wanafanya kazi kwa weredi na kiuzalendo, kwani sasa Serikali inaamini uwepo wa mafundi wazawa hivyo kwakua wameaminiwa basi wawatumikie watazanzia kwa moyo.


Aidha Mhe. Komba ametoa wito kwa Mafundi kuendelea kuomba kazi kwenye Mfumo ili Halmashauri iweze kuwapa kazi za ujenzi kwan miundombinu inaendelea kuboreshwa siku hadi siku

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa