• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

CCM yashauri vijana kupewa mikopo na fursa za ajira

Tarehe ya Kuwekwa: October 16th, 2021

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi wa Mkoa wa Ruvuma Ndugu Oddo Mwisho ametoa wito kwa Viongozi wa Wilaya ya Songea kutoa mikopo na fursa za ajira kwa vikundi vya vijana.

Mwisho ametoa rai hiyo alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua mradi wa shule ya sekondari ya Jenista Mhagama inayojengwa katika Kata ya Parangu wilayani Songea mkoani Ruvuma.

 Mwenyekiti huyo akiwa ameongozana na wajumbe wa Kamati na Siasa ya Mkoa wa Ruvuma,katika mradi huo alikagua majengo ya madarasa,majengo ya hosteli,maabara na jengo la utawala ambapo serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni moja ili kutekeleza mradi huo.

”Wakopesheni vijana mikopo wapate fedha ,wafanyekazi za kufyatua tofari ili waweze kurejesha mikopo yao kwa wakati”,amesema Mwisho.

Amesema fursa za mikopo na ajira ambazo vijana watazipata zitawasaidia kujikwamua  kiuchumi licha ya kurejesha mikopo yao  kwa wakati.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa  Halmashauri hiyo  Neema Maghembe amesema katika bajeti ya mwaka huu, Ofisi yake imetenga kiasi cha shilingi milioni 129 kwa ajili ya kuwakopesha vijana,wanawake na wenye ulemavu .

Maghembe ametoa rai kwa makundi hayo kuzingatia vigezo na taratibu zilizoainishwa na Serikali vya kuomba na kukopeshwa fedha hizo pasipo na upendeleo wowote.

Aidha katika ukaguzi huo wajumbe wa kamati hiyo wamesifu na kupongeza jitihada kubwa zinazofanywa na viongozi na wataalam katika kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo ambayo imejengwa kwa ubora na miongozo iliyoelekezwa na Serikali.

Kamati ya Siasa ya mkoa imetembelea na kugagua miradi minne ya maendeleo ambayo n iujenzi wa Bweni la wasichana na Maabara katika Shule ya Sekondari Matimira, ujenzi wa Shule ya Sekondari Jenista Mhagama inayoendelea kujengwa Kata ta Parangu,matundu ya vyoo na madarasa mawili katika Shule za Sekondari Nalima iliyopo Kata ya Litisha na Mbingamharule.

Imeandaliwa na kuandikwa na

Jacquelen Clavery

Afisa Habari

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa