• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

ZOEZI LA UDHIBITI UGONJWA WA MALARIA KWA KUPULIZIA VIUAVIDUDU KATIKA MAENEO YALIYOTAMBULIWA KUWA NA MAZALIA YA MBU YA KUDUMU

Tarehe ya Kuwekwa: October 16th, 2017

Halmashauri ya Wilaya ya Songea imetekeleza  mpango wa kuthibti kuenea kwa ugonjwa wa malaria kwa kupuliza dawa ya viuavidudu katika maeneo yaliyo tambuliwa kuwa na mazalia ya kudumu ya mbu kufuatia agizo la Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania JOHN POMBE MAGUFULI

Hayo  yamesemwa na mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Songea Bw SAIMONI BULENGANIJA wakati wa kampeni ya uhamasishaji wa kuthibiti kuenea kwa ugonjwa wa malaria   uliofanyika katika kijiji cha Mpitimbi.

BW BULENGANIJA Amesema Halmashauri imeanza kutekeleza mpango huo kufuatia agizo la Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh JOHN POMBE MAGUFULI agizo alilo litoa wezi Juni .22.  2017 Na kuzitaka Halmashauri zote,Manispaa zote na Majiji kwenda kuchukua dawa hizo na kuzipuliizia kwenye makazi ya watu. Alipokuwa akifungua kiwanda chaViuatilivu Kibaha Mkoani Pwani

Bw Bulenganija ameyataja maeneo yaliyobainika kuwa na mazalia ya kudumu ya mbu na kupuliziwa dawa kuwa ni  Nakawale, Nakahuga , Matimira,  Magagura, Mbinga muhalule,na  Muhukuru.

Sambamba na upulizwaji wa dawa ya viua vidudu Elimu ya afya ya kujikinga dhidi ya ugonjwa wa maralia ime endelea kutolewa kwa wananchi hasa wa vijiji vya Peramiho,Mpandangindo,na Mpitimbi ikishirikisha Maafisa afya, Wahudumu wa afya na watendaji wakata zote za Halmashauri ya Wilaya ya Songea

 Bw Bulenganija amesema sambamba na zoezi la upuliziaji dawa nivema wananchi wachukue tahadhari kwa kufanya usafi wa mazingira, kuuwa mazalia ya mbu nakutumia chandarua  kwa usahihi wakati wa kulala .Ugonjwa wa malaria ni miongo mwa magonjwa yanayo hatarisha uhai wa binadamu kwakusababisha vifo na umasikini wa kipato kwawananchi

KWAPAMOJA TUNAWEZA SHINDA ; AFRIKA BILA MALARIA INAWEZEKANA

IMEANDALIWA NA;AFISA HABARI

HALMASHAURI YA WILAYA  YA SONGEA

JACQUELEN CLAVERY

                                                         

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa