• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WENYEVITI WATEULE NA WAJUMBE SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA WALA KIAPO

Tarehe ya Kuwekwa: November 29th, 2024


Wenyeviti wa mitaa wateule na wajumbe kutoka katika kata 16 za Halmashauri ya Wilaya ya Songea  wameapishwa leo Novemba 28, 2024 katika Ukumbi wa Jenista Mhagama uliopo Maposeni Sekondari.

Akizungumza katika hafla ya kuwaapisha viongozi hao, Msimamizi wa Uchaguzi  Jimbo la Peramiho  ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri Songea, Bi Elizabeth Mathias Gumbo amewatakia heri viongozi hao katika kazi zao na pia kawataka wakatimize kazi zao kwa uadilifu na kwa uaminifu mkubwa.

Bi Elizabeth Gumbo, Amewataka viongozi wateule kuhakikisha wanaenda kuwa msaada kwa kumsaidia Mhe. Rais kutatua kero kwa Wananchi, na sio kwenda kuongeza Kero, wahakikishe wanashirikiana na wataalam kutatua migogoro inayoibuka kwani ni nafasi yao sasa kuhakikisha wananchi wanapata msaada

Aidha Amewataka viongozi hao waende kutimiza ahadi zao walizowaahidi wananchi kwenye kipindi cha kampeni.

 “Ahadi mlizotoa kwa wananchi ndio zimepelekea mmechaguliwa, hivyo hakikishen mnaenda kuzimiza ahadi hizo ili kuweza kukisaidia Chama na Serikali”

Hakimu Mkazi wa mahakama ya mwanzo, Maposeni Mhe. Maryam Burugi  wakati akiwaaapisha Viongozi wateule katika ukumbi huo wa Jenista Mhagama uliopo Shule ya Sekondari Maposeni Viongozi hao waliochaguliwa na wananchi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 ameasihi wateule hao kutii kiapo hicho kwani kwenye kinyume na kiapo unakua umevunja sharia na utahukumiwa

Uapisho huo ni hatua rasmi unaoonesha sasa ninyi ni viongozi na mnaanza kutekeleza majukumu yenu kwa mujibu wa sharia hivyo mnapaswa kuheshimu na kutii kiapo hiki,

Aidha amewashauri kuhakikisha wanadumisha maadili, uwazi, na uwajibikaji katika utendaji kazi wao ili kufanikisha maendeleo endelevu ndani ya Halmashauri ya ya Wilaya ya Songea  Hakimu

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa