• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Waziri Mkuu awataka watendaji kutoa elimu ya uwekezaji kwa wananchi

Tarehe ya Kuwekwa: July 25th, 2019

Waziri Mkuu awataka watendaji kutoa elimu ya uwekezaji

Waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa ameagiza watendaji wa serikali kutoa elimu ya uwekezaji kwa wananchi ili waweze kutambua umuhimu wa uwekezaji.

Ametoa agizo hilo wakati anazindua  kongamano la uwekezaji na viwanda lililo fanyika kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea.

“Elimu ya uwekezaji itawawezesha wananchi kuingia kwenye uchumi  wa viwanda na kuliletea taifa fedha ambazo sitasaidia katika ujenzi wa miradi ya kimkakati’’,amesisitiza.

Amesema mkoa wa Ruvuma ni mkoa pekee wenye fursa nyingi za uwekezaji hivyo watendaji wajenge mazingira mazuri ya kuwashawishi na kuwavutia   wawekezaji waweze kuwekeza katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amesema  mkoa baada ya kuzindua kongamano la uwekezaji na viwanda unatarajia kutumia  malighafi zilizopo ndani ya mkoa zitumike na kuongeza thamani kama vile misitu na  madini .

Aidha amesema Mkoa wa Ruvuma una hekta milioni  nne ambazo zimetengwa kwa ajili ya uwekezaji lakini zinazotumika ni hekta Zaidi ya lake nane tu huku hekta Zaidi ya  laki tatu hazijatumika mpaka sasa.

Aidha aliendelea kusema kuwa hali ya upatikanaji wa huduma muhimu kama barabara, maji, umeme, huduma za afya  ipo vizuri katika Mkoa wa Ruvuma.

Naibu waziri wa wizzara ya viwanada na biashara eng stella manyanya alisema uwekezaji kati amkoa wa Ruvuma unachagiza kauli mbiu ya serikali ya uchumi wa viwanda ifikapao 2025.

Mpaka  sasa Mkoa wa Ruvuma una jumla ya  viwanda 3852 kati ya hivyo viwanda Zaidi ya 3000 ni vidogo sana na viwanda vikubwa ni vinne.

Jacquelen Clavery

Afisa Habari songeadc

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa