• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WANANCHI WAJITOKEA KUUPOKEA MWENGE WA UHURU

Tarehe ya Kuwekwa: June 10th, 2024

Wananchi wa kutoka kata mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Songea, wamejitokeza kuupokea Mwenge wa Uhuru uliofika leo Halmashauri ya Wilaya ya Songea na Kupokelewa katika Kijiji cha Lipaya kata ya Mpitimbi.

“ ni matumaini yang u kuwa, Wananchi waliohudhulia leo wapo tayari kuupokea Mwenge wa Uhuru, na sasa tupo tayari kuukimbiza Ee Mwenyezi Mungu tusaidie “ Kapenjama Ndile Mkuu wa Wilaya ya Songea

Mwenge wa uhuru umeingia Halmashuri ya Wilaya ya Songea ukitokea Wilaya ya Namtumbo. Mwenge umekimbizwa umbali wa kilometa 78.4 na kukagua miradi mbalimbali.

Katika Miradi hiyo, Miradi 3 imewekwa jiwe la Msingi, Miradi miwili imezinduliwa na miradi 4 imetembelewa, yote ikiwa na thamani ya Shilingi billion nne na million miatano.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi wa wananchi wamemshkuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani pamoja Mbunge wa Jimbo la Peramiho kwa Nman ambavyo wamekuwa wakiwaona wananchi wa jimbo la Peramiho kwa kuwaletea Miradi katika maeneo yao miradi ambayo imekuwa ikiwaokoa sana na kurahisisha maisha yao.

“ mimi nimshukuru sana Rais, kama asingetuona hata huu mwenge usingefika huku. Leo tunauona Mwenge kwakua tunayo Miradi ambayo unaweza zinduliwa na kwa ujio wa Mwenye miradi imeanza kufanya kazi mfani Mradi wa Maji leo tumeona maji yakitoka” Salimu Nyoni Mkazi wa kijiji cha Lipaya

Aidha Mkuu wa Wilaya ya Songea, Mhe. Kapenjama Ndile amewashukuru sana wananchi waliojitokeza katika kukimbiza Mwenge huo ulioingia Halmashauri ya Wilaya ya Songea leo. Naye kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa amewataka wananchi kuendelea kumtia moyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani kwani nia yake kwa wananchi ni kuhakikisha wanamapata mahitaji yote muhimu kama vile maji, Miundombinu kama shule hospitari nk

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa