• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WANANCHI na wadau wa maendeleo waunga mkono jitihada za Viongozi

Tarehe ya Kuwekwa: March 6th, 2022

Wananchi wa kata ya Magagura na wadau mbalimbali wa maendeleo wa Halmashauri ya Wilaya Songea mkoani Ruvuma  wameunga mkono jitihada za mbunge kwakuchanga fedha ambazo zimetumika kunua vifaa tiba vya  kituo cha afya cha Magagura na zawadi kwa wenye uhitaji.

Vifaa vivyo vimekabidhiwa katika sherehe za uzinduzi wa siku ya wanawake dunia iliyofanyika katika Kata ya Magagura,Kijiji cha Magagura hivi karibuni.

Diwani wa Kata ya Magagura Mhe.George Ponera amesema katika kuadhimisha siku hiyo wananchi wa kata hiyo wamechanga shilingi 690,000,ambazo zimetumika kunulia vifaa tiba,wadau wengi ambao wameshiriki kuunga mkono jitihada hizo kuwa  ni Chuo cha Maendeleo ya Jamii cha Mlale ambacho kimechangia shilingi milioni tano na baadhi ya fedha hizo zimetumika kunua kitanda kwa ajili ya kujifungulia akinamama  kiti kimoja cha kutembelea wagonjwa na vifaa tiba.

Mhe.Ponera amewataja wadau wengine kuwa ni Kikosi cha JKT Mlale ambacho nacho kimechangia vifaa tiba,Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo imechangia vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi 800 000 na Banki ya NMB ambayo imechangia shuka 12 kwa ajili ya wagonjwa zenye thamani ya shilingi 520,000 na kitanda kimoja kwa ajili ya kujifungulia akinamama ambacho thamani yake bado haijajulikana.

 Mhe.Ponera amewashukuru wadau mbalimbali waliojitokeza kuchangia vifaa hivyo na fedha ambazo zinakwenda kupunguza tatizo la upungufu wa vifaa tiba katika Kituo cha Afya cha Magagura na wananchi wa Kata hiyo na Kata jirani kuweza kunufaika na huduma za afya.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Bi Lucy Mbolu amesma katika kuunga mkono jitihada hizo Halmashauri imetoa kiasi cha shilingi milioni 15 ambazozitatumika kakarabati miundombinu ya umeme na kurekebisha miundombinu ya mifumo ya maji.  

Akimwakilisha mgeni rasmi Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe. Menas Komba amesema katika kuadhimisha sherehe za wanawake duniani Mhe.Jenista  Mhagama ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Peramiho ametoa shilingi milioni 2,200,000 kwa ajili ya kununulia vitanda na magodoro yake ambavyo vitatumika kwa wagonjwa watakao takiwa kupumzishwa pia ametoa shilingi milioni tano kutoka kwenye mfuko wa Jimbo kwa ajili ya kwenda kujenga miundombinu ya elimu katika shule ya Msingi Mlale.

Mhe.Komba ameongezakwakusema maadhisho ya siku ya wanawake duniani yaendane na matendo ya halisi ya kuthamini mchango wa wanawake katika jamii ikiwemo utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa makundi ya wanawake,vijana na wenye ulemavu.

 Kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Halmashauri ya wilaya ya songea imefanya uzinduzi wa  sherehe hiyo katika kijiji cha Magagura ,kata ya Magagura kwakufanya matendo ya huruma kwakugawa zawadi kwa wahitaji kwa wanawake toka Kata ya Mpandangindo na watoto yatima wanaolelewa na Shilika la Masista wa Mtakatifu Agnes Chipole.

Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani hufanyika kila mwaka Machi 8 kuanzia mwaka 1975 ikiwa na maudhui ya kutambua na kuthamini mchango wa wanawake katika jamii na kuikumbusha dunia juu ya haki za wanawake na kuongeza chachu katika harakati za mapambano katika usawa wa kijinsia kwenye jamii kwa mujibu wa” UMOJA WA TAIFA”

Imeandaliwa na kuandikwa na

Jacquelen Clavery

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa