• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Wanafunzi wa kidato cha sita warejea shuleni,wawatoa hofu wazazi na walezi

Tarehe ya Kuwekwa: June 3rd, 2020

Wanafunzi wa kidato cha Sita katika shule ya sekondari Maposeni wilayani Songea mkoani Ruvuma wanaorejea shuleni,wamewatoa hofu wazazi na walezi wao kwamba wapo salama dhidi ya maambukizi ya homa  kali ya Mapafu (Covid 19).

Wakizungumza  kwa niaba ya Wanafunzi wenzao Anastazia Christopher na Isaya Mlelwa wamesema wapo salama kwasababu walimu wanachukua tahadhali zote za kujikinga na virusi vya corona na kwamba wanafunzi wote wanaoripoti shuleni hapo,wana vifaa muhimu vikiwemo  vitakasa mikono na uvaaji wa barakoa kwa kila mwanafunzi.

Mkuu wa sekondari hiyo Dismasi Nchimbi amezitaja tahadhari nyingine zilizochukuliwa  na shule hiyo ni  kuzingatia ukaaji wa wanafunzi  madarasani  kwa kila darasa kukaa wanafunzi wasiozidi 20,idadi ya kulala kwenye mabweni kwa kila chumba kutoka wanafunzi wanne mpaka wawili na kila kitanda kulala mwanafunzi mmoja badala ya wawili.

Nchimbi amesema hadi kufikia Juni 3,jumla ya wanafunzi wa kidato cha sita   185 kati yao wavulana 95 na wasichana 90 wameripoti kati ya wanafunzi 222 waliosajiriwa.

Akizungumza na wanafunzi wa kidato cha sita katika sekondari ya Kigonsera kwa niaba ya wanafunzi wa kidato cha sita katika Mkoa wa Ruvuma,Mndeme amewaasa wanafunzi hao kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vya corona kwa kuzingatia tahadhari zote zinazotolewa na Wizara ya afya.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amewataka wenye Mabasi ya abiria kuwa wazalendo kuwapa kipaumbele wanafunzi wanaosafiri kuelekea shuleni na vyuoni baada ya shule na vyuo kufunguliwa Juni Mosi mwaka huu.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alitangaza kufunga shule na vyuo nchini  tangu Machi 17 mwaka huu  kufuatia tishio la ugonjwa wa Covid 19 ambalo ni janga la dunia.

Imeandikwa na Jacquelen clavery

Afisa Habari  Halmashauri ya Wilaya ya Songea

Juni 3,2020

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • FAHAMU KUHUSU BARAZA LA MADIWANI; MUUNDO NA UTENDAJIKAZI WAKE

    November 25, 2025
  • SONGEA DC, YATEMBELEA MIKOA INAYOLIMA KAHAWA KWA LENGO LA KUPATA UZOEFU

    November 19, 2025
  • DC NDILE AIPONGEZA HALMASHAURI YA SONGEA KWA KUIMARISHA HALI YA LISHE, ATOA WITO WA KUENDELEZA JITIHADA

    November 17, 2025
  • SONGEA DC YAPOKEA MSAADA WA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA TSH MILIONI 30 KITUO CHA AFYA MUHUKURU LILAHI

    November 20, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa