• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Wakulima washauriwa kushiriki maonesho ya nanenane

Tarehe ya Kuwekwa: August 7th, 2020

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amefanya ufunguzi wa maonesho ya nanenane ngazi ya Mkoa kwa kueleza mafanikio makubwa ambayo yamepatikana ikiwemo uzalishaji wa chakula cha kutosha hali ambayo imefanya Mkoa kuwa na ziada ya chakula tani 877,000.

Katika hotuba ya Mndeme ambayo ilisomwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Cosmas Nsenye kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,amesema  kutokana na kuongezeka kwa uzalishaji wa mazao ya chakula Mkoa umepangiwa na serikali kununua zao la mahindi kiasi cha tani 70,000 kwa shilingi 550 kwa kilo kupitia Wakala wa Usalama wa Chakula wa Taifa(NFRA).

Hata hivyo Mndeme amesema Mkoa unatambua changamoto ya soko kwenye zao la mahindi na unaendelea na jitihada za kuwatafutia wawekezaji watakaosaidia katika usindikaji na kuongeza upatikanaji wa soko.

“Mkoa wa  Ruvuma kwa mwaka 2015 ulikuwa na  jumla ya ng’ombe 117,374,mbuzi 227,186,nguruwe 223,976,ambapo mwaka 2020 mifugo imeongezeka na kufanya Mkoa kuwa na ng’ombe 190,514,mbuzi 272,147,kondoo 30,625 na nguruwe 315,923’’,alisema Mndeme.

Amesema ongezeko la mifugo limesababisha kuongezeka kwa mazao ya mifugo na kufikia tani 7,851.58 za nyama ya ng’ombe,tani 4,906.65 za nyama ya mbuzi,tani 871.2 za nyama ya kondoo,tani 14,033.32 za nyama ya nguruwe na tani 179,345.

Mkuu wa Mkoa amemshukuru Rais Dkt.John Magufuli kwa kutoa kiasi cha shilingi bilioni  tatu kwa ajili ya ujenzi wa machinjio ya kisasa iliyopo Manispaa ya Songea yenye uwezo wa kuchinja ng’ombe 100 na mbuzi 200 kwa siku ambapo amesema hiyo ni fursa kwa wafugaji.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa