• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

wafugaji watakiwa kusomesha watoto

Tarehe ya Kuwekwa: September 27th, 2018

Wafugaji watakiwa kusomesha watoto

Katika Kaya 248 za jamii za wafugaji katika kijij cha Mhepa kata ya Kilagano Halmashauri ya Wilaya ya Songaea kaya 3 tu zimepeleka watoto wao shule na wasiozidi 10

Mkuu wa Wilaya ya Songea Mh Pololeti Mgema amebainisha hayo wakati wa uzinduzi wasoko la awali wa mnada wa mifugo ulio fanyika kijiji hapo hivi karibuni.

Ameshangazwa na hali hiyo kwa jamii za wafugaji katika kaya 248 kaya 3 tu zinasomesha watoto tena wasiozidi kumi wakiwemo Wabarbeig na wasukuma.

Mh Mgema amesema jamii za wafugaji walio wengi hawependi kusomesha watoto,kwa  lengo la  kuwarithisha shughuli ya ufugaji, na kuwakosesha haki yao ya  kikatiba ya kupata Elimu

Kufuatia hali hiyo ametoa agizo kwa jamii za wafugaji wa Kijiji hicho kuwapeleka watoto shuleni mara moja wakapate Elimu,atachukua hatua kali za kisheria kwa mfugaji yeyote atakaye kaidi agizo hilo la kuto somesha wototo.Elimu inatoa fursa kwa watoto katika kujijengea misingi bora ya maisha katika kupanga na kutekealeza kazi zao.

Wafugaji wamesema wanashindwa kuwa peleka watoto wao shule kutokana na changamoto ya umbali uliopo kati yao na shule ilipo na wameomba serikali kuwatengea eneo la kujenga shule nao wapo tayari kuanza ujenzi ili watoto wao waweze kusoma.

Aidha uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea umesema upotayari kuwa pelekea watumishi endapo watakamilisha ujenzi wa shule.

JACQUELEN CLAVERY –TEHEMA.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, KARIBU RUVUMA UJIO WAKO NI MUHIMU KWA MASLAHI YA SONGEA DC

    July 27, 2025
  • MFUMO WA NeST UMEBORESHA UWAZI NA UWAJIBIKAJI KATIKA MANUNUZI YA UMMA

    July 21, 2025
  • VIKUNDI 28 VAPATIWA MIKOPO YA TSH MILIONI 249 NA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    July 03, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 600 ZIMETUMIKA KUJENGA STEND YA KISASA PERAMIHO

    July 01, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa