• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Ujenzi wa barabara

Tarehe ya Kuwekwa: March 29th, 2018

TARURA na Mikakati ya kujenga, kuboresha miundombinu ya Barabara Halmashauri ya Wilaya ya Songea

Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) imeanza ujenzi,uboresha na kuimarisha miundo mbinu ya barabara katika halmashauri ya Wilaya yaSongea kwa lengo la kurahisisha mawasiliano na kukuza uchumi wa nchi.

TARURA imepanga kuhakikisha kuwa dhima ya serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Dkt. John Pombe Magufuli inayafikia malengo yake ya kuwa na Tanzania yenye uchumi wa kati pamoja na maendeleo ya viwanda.

Kaimu meneja wa TARURA Mwandisi Simoni Binanamu Amebainisha kuwa, miundombinu ya barabara katika halmashauri ya Songea zitajengwa,na kufanyiwa matengenezo ya muda maalumu na kawaida kwa lengo lakufanikisha shughuli za mawasiliano ya barabara kwakusafirisha mazao ya wakulima na kuboresha maisha ya wananchi.

Mwandisi Binamu alisema kuwa mpaka sasa kampuni tatu za wakandarasi zimesaini mikataba kwa ajili ya kutekeleza ujenzi na ukarabati wa miradi ya barabara katika Halmashauri ya Songea.

Serikari imetoa zaidi ya Shilingi milioni 692 kutoka mfuko wa barabara  kwa ajili ya kufanikisha ujenzi huo ambapo kampuni za Ugalla Investment Company, Msae General Suppliers Ltd na Msifaki engineering and enterprises zimepewa tenda ya kufanya kazi hiyo,kwa muda wamiezi mitatu kuanzia machi 26 hadi Julai 27- 2018 ujenzi uwe umekamika

“Kampuni ya Ugalla Investment itafungua barabara mpya kuanzi  Liganga-,Serekano-,Mborongo hadi Mwimbasi  pamoja na ujenzi wa miundao mbinu kama vivuko na mifereji yenye    urefu wa kilomita 30. Ambapo Msae General Entreprises atafanyia matengenezo ya kawaida na muda maalumu barabara za Peramiho-Morogoro-Litisha-Liganga.Peramiho-Litowa.Muunganozomba-Lugagara na Mgazini hadi Mhepai zenye kilomita 58.

Binamu aliongeza kuwa kampuni ya Msifaki Engineering and Enterprises imepewa barabara yenye kilomita 40 inayoanzia Matomondo, Magagula hadi Kizuka na barabara nyingine itaanzia Litapwasi, Lyangweni hadi Mbingamwalule.na Mahiro –Mpingi hadi Kikunja.Barabara zote zita jengwa kwa kiwango cha ngarawe

Kukamilika kwa barara hizo  kutadhihirisha wazi utendaji  mzuri  wa kazi wa serikali ya awamu ya tano kwa leta mabadilikochanya kwa wananchi   wake kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni  na kuhakikisha pato la serikali linaongezeka na wananchi kuendelea kupata huduma bora za kijamii  kama vile maji,madawa,Elimu nk.

IMEANDALIWANA. JACQUELEN CLAVERY –HABARI MAWASILIANO NA UHUSIANO SERIKALINI

HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA.

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa