• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

TASAF yawanufaisha Songea Vijijini

Tarehe ya Kuwekwa: September 15th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Songea ilipokea fedha kiasi cha shilingi Bilioni 1.1 kutoka katika Mpango wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya Maendeleo.

Hayo yamethibitishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndugu Neema Maghembe.

''Nichukue nafasi hii kuishukuru Serikali yetu inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mhe. Jenista Joakim Mhagama  na Mkurugenzi wa TASAF Taifa kwa kufanya jitihada za kuhakikisha fedha zinazopatikana kwa ajili ya Nchi yetu na sisi wananchi wa Songea Vijijini inatufikia nasi wataalamu kwa kushirikiana na Viongozi na wananchi tutahakikisha miradi tunaisimamia kwa weredi mkubwa ili ikamilike kwa ubora na viwango vinavyokubalika".

Aidha, fedha hizo zinatekeleza miradi mbalimbali ikiwemo stendi ya kisasa ya Magari Parangu ambayo ipo katika hatua za umaliziaji inayotekelezwa kwa fedha kiasi cha shilingi Milioni 225.

Pia mradi wa Soko la Peramiho A ambalo limekamilika kwa asilimia 100 na tayari limeshaanza kutumika ambalo liligharimu fedha kiasi cha shilingi Milioni 185.

Vilevile nyumba za watumishi wa Zahanati ya Mdunduwalo ambayo inajengwa mbili kwa moja ipo katika hatua ya umaliziaji, vyoo matundu 6 na kisima kirefu cha maji inayogharimu fedha kiasi cha shilingi Milioni 170.9 na nyumba ya mganga mfawidhi wa hospitali ya Halmashauri iliyopo katika Kata ya Mpitimbi ambayo imekamilika kwa asilimia 100 na tayari imeshaanza kutumika imegharimu fedha kiasi cha shilingi milioni 68.

Pia Halmashauri ilipokea fedha kiasi cha shilingi 995,000 kwa ajili ya uboreshaji wa visima vya asili ambavyo vimesaidia wananchi kupata maji safi na salama na kwa asilimia kubwa vimeondoa changamoto ya upatikanaji wa maji Vijijini.

Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea wameipongeza na kuishukuru Serikali kupitia TASAF kwa kuleta fedha hizo kwa ajili ya kutekeleza miradi ya Maendeleo ambayo imeenda kutatua changamoto mbalimbali kwa wananchi.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa