• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

TAKWIMU ni dira kwa nchi katika upangaji wa shughuli za maendeleo kiuchumi

Tarehe ya Kuwekwa: September 1st, 2020

TAKWIMU ni dira katika upangaji wa shughuli za maendeleo ya uchumi .

Wananchi waliochaguliwa katika dodoso la sensa ya kilimo ,mifugo na uvuvi wametaki wa  kutoa takwimu sahihi ili kuiwezesha serikali  kupanga mipango sahihi ya  kuendeleza sekta hiyo

Wito huo umetolewa na Bw Sellius Ngai  Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma katika zoezi linalofanyika la dodoso la sensa ya kilimo ,mifugo na uvuvi   katika Kijiji cha Mbinga Mhalule  kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma.

 Ngai amesema Serikali kupitia ofisi ya Takwimu ya Mkoa wa Ruvuma inaendesha zoezi la dodoso la sensa ya kilimo,mifugo na uvuvi  kwawananchi, hivyo watoe ushirikiano wa dhati katika kufanikisha zoezi hilo kwa kutoa majibu sahihi yatakayo wezesha serikali  kupanga mipango ya kuendeleza sekta hiyo kiuchumi.

“Jambo lolote linalotekelezwa na serikali nyuma yake kuna takwimu” ,alisema Ngai

Amseema takwimu ni nyenzo inayotoa dira ya kupanga mipango ya maendeleo katika nchi yoyote dunia ,hakuna jambo ambalo linaweza kufanyika bila kuwepo na takwimu nyuma yake kama vile ujenzi wa miradi mbalimbali ,utoaji wa taarifa mbalimbali serikali hata upangaji wa  makazi bora ya watu.

Kwaupande wake Meneja wa Takwimu wa Mkoa Ruvuma Mwantumu Uhenga amesema lengo la dodoso hilo ni kubaini  idadi ya mifugo na changamoto zake,kilimo na changamomoto zake , wadudu wasumbufu na matatizo ambayo yanawakabili  wakulima,upatikanaji wa masoko halikadharika kwenye uvuvi lengo likiwa serikali kuja na mipango madhubuti katika kuendelea sekta hiyo.

Amesema dodoso la sensa hiyo limeanza tangu Augosti tano mwaka huu na linategemea kukamilika Oktoba tatu mwaka huu ,na wanatarajia kuwafikia wakulima,wafugaji na wavuvi jumla ya kaya 1498 kwa Mkoa mzima na wameandaa madodoso matatu ambyo ni  ya wakulima wakubwa,wakulima wadogo na dodoso la jamii na sensa hiyo inaendelea nchi nzima.

Wananchi walioteuliwa wamehaidi kutoa ushirikiano kwa maofisa wa Takwimu ambao wanaendesha zoezi hilo kwa dodoso lolote watakalotakiwa kutolea ufafanuzi wa kina.

Imeandikwa na

JACQUELEN CLAVERY

AFISA HABARI SONGEA ,DC    

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa