• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

TAKUKURU ya warai wananchi kushiriki katika miradi ya UVIKO-19

Tarehe ya Kuwekwa: November 4th, 2021

Kamanda wa Taasisi ya kuzuia na kupambana rushwa Mkoa wa Ruvuma Hamza Mwenda amewarai wananchi kutoa ushirikiano katika utekelezaji wa miradi ya mpango wa maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO -19.

Mwenda ametoa rai hiyo katika kikao kazi cha kutoa taarifa kwa umma za utendaji kazi cha robo ya kwanza kwa kipindi cha mwezi Julai hadi Septemba kilichofanyika katika ukumbi wa ofisi hizo leo.

Mwenda amewarai wananchi kutoa ushrikiano wa kina katika kufanikisha zoezi hilo ikiwemo kuchukua hatua mahususi pale wanapoona kunadalili za ukiukwaji wa miongozo, sheria na viashiria vya rushwa katika utekelezaji wa miradi.

 “Mkoa wetu ni miongoni mwa Mikoa iliyopokea mabilioni ya fedha za UVIKO-19 nitoe rai kwa wahusika waliopewa dhamana ya kusimamia miradi hiyo kuzingatia miongozo iliyotolewa na Serikali,” amesisitiza Mwenda. 

Mwenda amewataka wahusika wote waliopewa dhamana ya kusimamia utekelezaji wa miradi kuhakikisha  wanafuata miongozo sahihi ya matumizi ya fedha hizo, na kwa yoyote atakaye kiuka miongozo hiyo atachukuliwa hatua za kisheria.

Mwenda amesema katika kuzuia na kupambana na rushwa katika kipindi cha  mwezi Oktoba hadi Disemba mwaka huu TAKUKURU imepanga kutekeleza shughuli mbalimbali zikiwemo kuendelea kufanya ufuatiliaji katika makusanyo ya fedha za mapato ndani za Halmashauri kupitia utaratibu wa POS, kuelimisha umma na kufanya uchambuzi wa mifumo hasa katika maeneo yanayolalamikiwa na wananchi.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma Neema Maghembe amesema Halmashauri imepewa mgao wa shilingi zaidi ya bilioni moja kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya Madarasa kwa Shule za Msingi na Sekondari.

Imeandaliwa na kuandikwa na

Jacquelen Clavery

Songea DC

  

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa