• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Songea Dc Yatoa Mafunzo ya Usuluhishi kwa Wajumbe wa Mabaraza ya Kata; Kuepuka Rushwa na Kutoa Haki kwa Wote

Tarehe ya Kuwekwa: November 8th, 2024

Mkuu wa kitengo cha huduma za sheria Halmashauri ya Wilaya ya Songea Wakili msomi Pascal Kapinga ameongoza ziara ya kutoa mafunzo kwa wajumbe wa Mabaraza ya Kata ya Muhukuru Barabarani na Muhukuru Lilahi, akisisitiza umuhimu wa usuluhishi katika kutatua migogoro ya ardhi kwa njia ya haki na uadilifu.


Katika ziara hiyo, Wakili. Kapinga alikazia wajumbe wa Mabaraza hayo kutenda haki bila kuingiliwa na maslahi binafsi, huku akieleza kuwa jukumu la Mabaraza hayo ni kusuluhisha migogoro na si kutoa hukumu. Alisema, "Zingatieni uadilifu wa kazi yenu, kazi yenu sio ndogo ni kazi kubwa lakini niwaombe msitoe hukumu katika migogoro Bali ni usuluhishi tu; Shauri likishindikana kwenye baraza, wadaawa wapewe hati ya usuluhishi ili kwenda hatua nyingine za kisheria kutafuta haki


Hatua hii ni sehemu ya juhudi za Serikali ya Tanzania kuboresha utatuzi wa migogoro ya ardhi kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, kwa kuanzisha mwongozo wa usuluhishi wa migogoro ya ardhi katika Mabaraza ya Kata. Mwongozo huo unalenga kuweka utaratibu rahisi, wa haki na wa maridhiano katika jamii, ili kumaliza migogoro kwa njia ya usuluhishi badala ya kufika moja kwa moja katika mfumo wa mahakama.


Mafunzo hayo yanatarajiwa kuwa na manufaa kwa wajumbe wa Mabaraza ya Kata katika kutatua migogoro ya ardhi kwa njia ya usuluhishi, ambayo inajulikana kwa urahisi, haraka, na gharama nafuu kwa wananchi. Aidha, Wakili. Kapinga alisisitiza kuwa ni muhimu kwa wajumbe wa Mabaraza ya Kata kuepuka vitendo vya rushwa kwani utendaji wa haki unahitaji kuwa wa wazi na waaminifu kwa pande zote.


Wajumbe wa Mabaraza ya Kata walimshukuru Wakili. Kapinga kwa mafunzo hayo, wakisema kuwa walikuwa wakifanya baadhi ya maamuzi kinyume na miongozo ya utatuzi wa migogoro kwani mambo mengine walikuwa hawayafahamu. Waliahidi kuwa sasa watazingatia mafunzo na miongozo hiyo katika kutenda haki kwa manufaa ya jamii.


Halmashauri ya wilaya ya Songea kupitia kitengo cha Huduma za Sheria inaendelea kuhimiza na kuimarisha mifumo ya usuluhishi wa migogoro ya ardhi, kuhakikisha kuwa wananchi wanapata haki kwa njia rahisi, haraka na kwa gharama nafuu.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa