• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

SHILINGI BILIONI MOJA (AMBAZO NI AWAMU YA KWANZA) ZIMEJENGA CHUO CHA WALEMAVU LIGANGA.

Tarehe ya Kuwekwa: July 10th, 2024



Serikali imetoa Shilingi Bilion moja ( 1,000,000,000/=) Kujenga Chuo cha Walemavu Liganga katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea ikiwa ni majengo matatu yaanda Madarasa 10 yenye vyoo Vyoo 22, Bweni la Wanafunzi 80 lenye vyoo 18 na Nyumba ya watumishi Moja kwa tatu

Mh. Mbunge wa Jimbo la Peramiho alitembelea na kukagua ujenzi wa Chuo cha Walemavu kilichopo kata ya Liganga katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea, ambapo alikagua ujenzi wa Mabweni, Darasa pamoja na Nyumba ya Watumishi ambayo ni Moja kwa tatu

Chuo kilianza kujengwa 19/05/2024 na kilitarajiwa kuisha ( kukamilka ) mwishoni mwa mwaka 2023, yaani tarehe 31/12/2023, lakini bado hakijakamilika na mkataba umehuishwa ambapo kinatarajia kukamilika mwaka huu. Frola Mbilinyi Mtendaji wa kata ya Liganga


Aidha Mhe. Mbunge alipongeza uongozi wa Halmashauri pamoja na Diwani kwa kusimamia vema ujenzi wa chuo hicho na kuwaambia kuwa chuo hicho kitawaletea maendeleo makubwa kata ya Liganga na Halmashauri kwa ujumla

“ Niwaambie wananchi wa Liganga, kwanza tumshukuru sana Rais kwa kutujengea hiki chuo katika Halmashauri yetu. Chuo hiki kitawasaidia sana wananchi wa Liganya na Wilaya nzima ya Songea mana Watu wengi watakuja kutoka mikoa tofauti kusoma hapa.

Niwapongeze pia viongozi wote wa Halmashauri kwa namna mlivyosimamia ujenzi wa chuoa hiki, Nikupongeze pia Mhe. Diwani umepambana sana kwa ajili ya wananchi wa kata ya Liganga.

Hata hivyo Wananchi pia walimshukuru Mbunge kwa kutembelea na kukagua chuo hicho wakiamini ujio wake utakipa nguvu na mwendo chuo hicho kukamilika kwa wakati uliopangwa.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa