• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Ruzuku ilivyosaidia kubadili maisha ya kaya masikini.

Tarehe ya Kuwekwa: January 15th, 2019

Ruzuku ilivyosaidia kubadili maisha ya kaya masikini.

Mpango wa kunusuru kaya masikini umesaidia kubadili maisha ya kaya zinazonufaika na mpango huo katika Halmashauri ya wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma  kwa kuboresha upatikaji wa mahitaji mumhimu katika familia zao

Wameyasema hayo kwa nyakati tofauti walipo tembelewa na waratibu kutoka halmashauri ya wilaya ya songea hivi karibuni.

Kaya hizo zimesema taangu  kuanzishwa kwa mpango huo mwaka 2015 mwezi  juni wamenufaika kwa kuboresha upatikanaji wa mahitaji muhimu katika familia zao.

Petro komba na Nunu Ponera ni miongo mwa kaya zinazo nufaika na mpango huo wanasema tangu waingizwe  kwenye mpango huo wameweza kubadili maisha yao kwa kukabiliana na baadhi changamoto zilizokuwa zikiwakabili kama vile matibabu,kusomesha watoto,kuanzisha miradi midogo modogo kama vile ufugaji,kuanzisha bustani ambazo wanalima mboga mboga.

Changamoto nyingine ambazo wameweza kutatua ni kujenga nyumba tofauti na zile za awali ambazo zilikuwa duni na zenye kuhatarisha maisha yao,kuchangia kiasi cha shilingi elfu kumi kwa mwaka kwa ajili ya bima ya matibabu.

Pamoja na kukabiliana na changamoto hizo wameomba serikali kuwaongezea ruzuku ili waweze kuboresha zaidi maisha na kuanzisha miradi ambayo itawasaidia kujikimu hatakama TASAF itasitisha utoaji wa ruzuku katika kaya hizo.

TASAF (Tanzania Social Action Fund) ni mfuko ulioanziswa mwaka 2014 ukiwa na lengo la kunusuru kaya masikini kwa kuwajengea uwezo wa kujinusuru na umasikini katika jamii kwakuwapa ruzuku na kuwaanzishia miradi midogo midogo ambayo wao wanaibua.

JACQUELEN CLAVERY-TEHAMA-HABARI

15/01/2019

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa