• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Rc Mndeme amuagiza DC Mgema kuhakiksha TAKUKURU wanachunguza zahanati 4

Tarehe ya Kuwekwa: July 10th, 2019

RC Mndeme amuagiza DC Mgema kuhakikisha TAKUKURU wanachunguza ujenzi wa zahanati 4

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Chiristina Mndeme amemuagiza Mkuu wa wilaya ya Songea  Pololeti Mgema ahakikishe TAKUKURU inafanya uchunguzi wa ujenzi wa zahanati 4 zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

Mndeme ametoa agizo hilo katika mkutano maalumu wa baraza la madiwani la kujadili hoja na mapendekezo ya mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali za mwaka wa fedha 2017 /2018 kilicho fanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea hivi karibuni.

Mndeme ametoa agizo hilo kutokana na kutoridhishwa na matumizi ya shilingi milioni 400 zilizotolewa na serikali kwa ajiri ya kukamilisha ujenzi wa zahanati hizo na kuisababishia serikali hasara, zahanati hizo  ni Mpingi,Lipaya,Lugagara na Nakahegwa.

Ametaka uchunguzi ufanyike na kupewa majibu, watakao bainika kukiuka sheria ya manunuzi na sheria ya fedha za mamlaka ya serikali za mitaa atawachukia hatau kisheria.

Ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kupata hati safi ya mahesabu ya fedha Serikali kwa kipindi cha mwaka wa fedha wa 2017 /2018 uliomalizika juni 30,sambamba na pongezi hizo amewataka madiwani kusimamia na kuhakikisha hoja 63 za tangu mwaka 2012 hadi 2018 ambazo hazijajibiwa,zinajibiwa.

“wataalamu utendaji wenu wa kazi ulenge kuzuia hoja na sio kujiandaa kujibu hoja”,alisema Mndeme.Kuzuia hoja kutasaidia mlundikano wa hoja ambazo hazifanyiwi kazi,kufanyiwa kazi.

Aidha afisa masuhuri achukue hatua kwa mtumishi yeyote atakae toa taarifa za uongo kuhusu ukusanyaji wa mapato au kushiriki kuhujumu ukusanyaji wa mapato ndani ya Halmashauri,Halmashauri ya Wilaya ya Songea imepiga hatua kubwa katika ukusanyaji mapato hadi juni 30 / 2018 kwa kufikia asilimia 72.

MWISHO.

JACQUELEN CLAVERY  -KAIMU AFISA HABARI SONGEA DC

10 /07 /2019.

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa