• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

RC Mndeme afungua minada ya mazao kwa mfumo wa stakabadhi ghalani

Tarehe ya Kuwekwa: April 24th, 2020

Mkuu wa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amezindua  minada wa ununuzi na uuzaji  wa mazao kwa mfumo wa stakabadhi  ghalani kwa msimu wa mwaka 2019 /2020.

Mkuu  wa Mkoa wa Ruvuma Chistina Mndeme amezindua minada ununuzi na uuzaji wa mazao kwa mfumo wa stakabadhi ghalani kwa msimu wa mwaka 2019 /2020 huku akiviagiza Vyama vikuu vya Ushirika TAMCU na SONAMCU na vyama vya msingi (AMCOS)  kutatua changamoto ya vifungashio kwa lengo la kuwaondolea adha wakulima.

Rc Mndeme amefanya uzinduzi huo  April 24 ofisini kwake

Amesema kwa msimu uliopita Mkoa umepata mafananikio makubwa kwa  wakulima kuongeza kipato ambapo ufuta zaidi ya kilo milioni 8 ziliuzwa na wakulima kupata zaidi ya sh.bilioni  24,  kwa wastani wa bei ya sh. 2,959, soya zaidi ya kilo milioni 2 ziluzwa na wakulima kupata zaidi ya sh.bilioni 2,  kwa wastani wa bei ya sh.750, huku mbaazi kilo 773,543 kwa wastani wa bei ya sh.700 kwa kilo na kupata zaidi y ash.milioni 543.

Mndeme amesema kwa msimu huu Mkoa unatarajia kuuza na kununua ufuta tani 12,108,soya na mbaazi tani 17,711 ambapo hakuta kuwa na bei elekezi kwa mazao hayo isipokuwa serikali kwa kushirikana na wadau watahakikisha bei inakuwa ya kumnufaisha mkulima .

“Mkoa umejipanga kutekeleza utaratibu  wa mnada kwa kufuata maelekeazao ya serikali kwalengo la kuleta tija katika mnada na mkulima ananufaika”, alisema Mndeme

Ametaja ratiba ya  minada kuwa siku ya Jumatatu mnada utafanyika  Songea,siku ya Jumatano mnada utafanyika katika Wilaya ya Namtumbo na Tunduru utafanyika siku ya Alhamisi huku akiweka msistizo ya kwamba mnada uhusishe watu wachache  kwakuzingatia  janga la virus vya Corona.

JACQUELEN CLAVERY

K/ AFISA HABARI SONGEA DC.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa