• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

RC Balozi Wilbert Ibuge azindua mikakati ya kuinua kiwango cha taaluma

Tarehe ya Kuwekwa: March 10th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Bregedia Jenerali  Balozi Wilbert Ibuge amezindua mikakati ya kuinua kiwango cha taaluma katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma lengo likiwa ni kuinua kiwango cha taaluma na  ufaulu.

Akizundua mikakati hiyo Balozi Ibuge ametoa wito kwa viongozi wa elimu kutenga siku moja katika mwaka kwa nia ya kujadili mafanikio na changamoto katika sekta ya elimu na kuzitafutia ufumbuzi kwa pamoja na kiwango cha elimu kiweze kuongeza.

Wakati huo huo Balozi  Ibuge amewakumbusha wananchi wa Mkoa wa Ruvuma kujiandaa kuhesabiwa ifikapo mwezi Agosti katika zoezi la Sensa ya watu na makazi sanjari na kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya UKIMWI na UVIKO-19   

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Bi. Neema Maghembe amesema uzinduzi wa mikakati hiyo umekuja baada ya Halmashauri hiyo kwa muda wa miaka mitatu mfululizo ufaulu wake kushuka.

Bi.Maghembe ameitaja mikakati hiyo kuwa ni pamoja na kufanya ufuatiliaji wa stadi za kusoma,kuandika na kuhesabu kwa wanafunzi wa darasa la kwanza na lapilli,kuhamasisha wazazi na jamii kuhakikisha wanafunzi wanapata chakula cha mchana shuleni na kutoa zawadi na motisha kwa walimu na wanafunzi wanaofanya vizuri katika masomo.

Naye mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe. Menas Komba amehaidi kusimamia mikakati hiyo ya elimu  na kuhakikisha inatoa matokeo cha chanya ili mradi tu kila mtu atomize wajibu wake kwakuzingatia taratibu, kanuni na sheria.

Mwenyekiti wa chama  cha mapinduzi wa Wilaya ya Songea Nelly Duwe amempongeza mbunge wa Jimbo hilo Mhe. Jenista Mhagama kwa jitihada za dhati za kufuatilia na kusimamia maendeleo ya jimbo lake.

Kauli mbiu “Elimu bora inawezekana timiza wajibu wako.”

Imeandikwa na 

Jacquelen Clavery

Songea dc 

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa