• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

RC Balozi Ibuge aridhishwa na ujenzi wa miradi ya UVIKO-19

Tarehe ya Kuwekwa: November 30th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Balozi Wilbert Ibuge ametembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa madarasa ya  UVIKO-19 na kuridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wake katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

“Mkurugenzi nimeridhishwa na kazi inayoendelea kufanyika,”amesema Balozi Ibuge.

Balozi Ibuge ametembelea na kugagua miradi ya Mpango wa maendeleo kwa ustawi wa Taifa wa mapambano dhidi ya UVIKO-19 ambao ni ujenzi wa vyumba vya madarasa katika Shule za Sekondari na Msingi ambayo yanajengwa Mkoa mzima.

Balozi Ibuge ametembelea Shule ya Sekondari Jenista Mhagama iliyopo Kata ya Parangu,Kijiji cha Parangu,Shule ya Sekondari Maposeni ambako panajengwa vyumba 10 vya madarasa,na Shule ya Sekondari Mpitimbi ambako vinajengwa vyumba viwili vya madarasa.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Bi.Neema Maghemba amesema ujenzi wa majengo hayo asilimia kubwa yamefikia hatua ya upauaji na mengine yapo hatua ya ukamilishaji ili yaweze kukabidhiwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Songea kabla ya Desemba 10.

Maghembe amesema Serikali imetoa Shilingi Bilioni 1.3 ambapo kiasi cha Shilingi Milioni 920 zinatumika kujenga vyumba 46 vya madarasa kwa Shule za Sekondari  na kiasi cha Shilingi Milioni 380 zinatumika kujenga vyumba 19 vya madarasa katika Shule shikizi tu ambazo ni Lunyele,Jenista,Mhimbasi,Lihuhu na Ligunga na kufanya jumla ya vyumba 65 vya madarasa kwa Halmashauri nzima.

Maghembe amemshukuru Rais wa awamu ya sita Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za ujenzi wa vyumba hivyo vya madarasa ambavyo zitatatua changamoto ya upungufu wa vyumba vya madarasa na kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia.

Halmashauri ya Wilaya ya Songea inajumla ya Shule za Msingi 75 kati ya hizo za Serikali ni 73, Shule moja inamilikiwa na Taasisi ya dini na moja inamilikiwa na mtu binafsi, na Shule za Sekondari 21 kati ya hizo Shule tano zinamilikiwa na watu binafsi na Taasisi za dini.

Imeandaliwa na Kuandikwa na 

Jacquelen Clavery

Songea DC

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa