• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

RAIS Magufuli azindua kkiwanda cha kuchakata mahindi 842 KJ Mlale

Tarehe ya Kuwekwa: April 9th, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli  amevitaka vikosi vya majeshi nchini kuiga mfano wa utendaji kazi wa jeshi la Kujenga Taifa na jeshi la wananchi  waTanzania

Rais ameyasema hayo wakati anazindua kiwanda cha kuchakata mahindi cha kikosi cha 842 KJ cha Mlale JKT kilichogharaimu zaidi ya shilingi milioni 400,kilichopo katika kijij cha Masangu Kata ya Magagura Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma.

RAIS Magufuli amesema vikosi vya majeshi  nchini viige mfano wa utendaji kazi wa Jeshi la Kujenga Taifa na Jeshi la Wananchi w Tanzania kwa kujenga viwanda ambavyo   vinasaidia  kuinua uchumi  wa viwanda .

Rais Magufuli amesema ujenzi wa viwanda vikiwemo vya kuchakata  mahindi na mazao mengine vitaidi kuinua uchumi wa nchi,pia uwepo wa viwanda hivyo utasaidia upatikanaji wa soko la uhakika la mahindi  na upatikanaji wa chakula cha kutosha kwa wananchi.

Mkuu wa Majeshi ya  Ulinzi na Usalama Tanzania  Jenerali Venance Mabeyo amesema lengo la kuanzisha kiwanda hicho ni kupata kipato na kukuza uchumi kwa kujenga uchumi wa viwanda.

Amesema uanzishwaji  wa kiwanda hicho ,utakuwa chachu ya maendeleo kwa watu binafsi kuanzisha viwanda na kutumia fursa za kiuchumi kudumisha amani.

Kiwanda cha kuchakata mahindi cha JKT Mlale kina uwezo wa kuchakata tani zaidi ya  300 za sembe na tani zaidi ya 100 za pumba ambazo zinaweza kutengenezwa chakula cha wanyama.aidha  Jeshi la Kujenga  Taifa linatarajia kujenga kiwanda cha kuchakata korosho,kiwanda cha kuchakata alizeti Manyara na kiwanda cha kuchakata kahawa Itende Mbeya.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa