• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

NAIBU WAZIRI, WIZARA YA HABARI, MAWASILIANO NA TEKNOLOGIA YA HABARI AZINGUA UJENZI WA MRADI WA MNARA SONGEA DC

Tarehe ya Kuwekwa: June 4th, 2024


Naibu Waziri, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknologia ya Habari Eng. Maryprisca Winfred Mahundi, leo 4/06/2024 ametembelea Halmashauri ya Songea Kata ya Maposeni na kuzindua Mradi wa Ujenzi wa Minara miwili ya Mawasiliano  katika kijiji cha Maposeni na Mdunduaro.

Mhe.  Mahundi amewatoa hofu wananchi wa jimbo la peramiho kwa kuwahakikishia kwamba, Serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknologia ya Habari wamepokea maelekezo kwa ajili ya kutatua kero hiyo na sasa kazi inaanza rasmi kuhakikisha wananchi wote wanapata Mawasiliano ya Uhakika.’

“kama mmemsikiliza vizuri meneja wa Mkoa, tayari kazi kubwa imefanyika, Mkongo wa Taifa upo hapa Maposeni. Na hayo ndio maagizo ya Dkt Samia Suluhu Hassan, maagizo haya alimpatia Mhe, Nape Nauye, na sisi wasaidizi wa Nape tumesema hatutalala tutatembea usiku na mchana tunataka kuhakikisha Mnara huu wa Maposeni unasaidia wananchi wa Jimbo la Peramiho. Alisema Eng Mahundi Naibu Waziri, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknologia ya Habari

Minara hiyo inategemea Kuanza na kumalizika ndani ya siku hamsini kuanzia leo, lengo ikiwa ni kuhakikisha Mawasiliano yanapatikana katika Halmashauri yote ya Wilaya ya Songea akizungumza mbele ya Naibu Waziri, Meneja wa TTCL Mkoa wa Ruvuma amesema

 “ Eneo hili la Maposeni, utajengwa Mnara ndani ya siku hamsini kuanzia leo utakua umekwisha kamilika kwa maana kwamba mkandarasi amekwisha patikana vifaa vyote vimeshapatikana kwahiyo tunachotegemea sisi kama shirika ni utekelezaji”

Aidha Mkuu wa Wilaya ya Songea Mhe. Kapenjama Ndile, ameyataja maeneo mbalimbali katika halmashauri ya Wilaya ya songea ambayo yamekua na changamoto za mtandao na kumuomba Mhe. Naibu Waziri kwa ujio wake kusaidia utatuzi wa changamoto hizo za mawasiliano katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

“ vijiji kama Litowa, Maposeni Mdundualo na vijiji vingine vingi vinamawasiliano dhaifu. Kwahiyo Mhe Naibu Waziri ujio wako hapa kwa wananchi wa Songea hasa Songea vijijini pamoja na Madaba wanamatarajio makubwa sana kwamba maelekezo yako yataleta chachu na kasi mpya katika ujenzi wa Minara na miundombinu ya mawasiliano kwa Ujumla” alisema Mhe. Ndile

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa