• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MWENGE WA UHURU WAINGIA MKOA WA RUVUMA NA KUPOKELEWA NA MKUU WA MKOA

Tarehe ya Kuwekwa: June 8th, 2024



Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed ameupokea Mwenge wa Uhuru leo 08/06/2023 katika Wilaya ya Tunduru kijiji cha Sauti moja. Kanali Ahmed ameupokes mwenge huo ukitokea Mkoa wa Mtwara.

Mkuu wa Mkoa ameupokea Mwenge huo na sasa rasmi upo Mkoani Ruvuma na utakuwepo kwa siku nane (8) ukipitita Wilaya zote na kukagua miradi ya ya Maendeleo kwenye Halmashauri zote Nane zilizopo Mkoa wa Ruvuma.

Viongozi mbalimbali wa Mkoa, Wilaya na Halmashauri, wamefika Wilayani Tunduru kwa ajili ya Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru.
Mapokezi hayo yamefanyika leo katika viwanja vya Shule ya Msingi Sauti Moja iliyopo Wilayani Tunduru, ukitokea Mkoa wa Mtwara huku wawakilishi kutoka kila Halmashauri zilizoko mkoa wa Ruvuma walikuwepo  wakishuhudia.
Mwenge wa Uhuru ukiwa Mkoa wa Ruvuma, utatembea umbali wa kilometa 1289.50 kwa mchanganuo ufuatavyo;- Tunduru Km 284, Namtumbo Km 170, Songea Vijijijni 134.80 Mbinga DC Km 110, Nyasa Km 186, Mbinga Mji 140, Manispaa Km 28.20 na Madaba km 165.

Aidha Mwenge huo kwa ujumla utatembelea Miradi 72 kwa mkoa mzima  yenye thamani ya zaidi ya bilion 46 na baada ya hapo tarehe 16/06/2024 Mwenge wa uhuru utakabidhiwa katika Mkoa wa Njombe

 Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mwenge unatarijia kufika tarehe 10/06/2024 ambapo utapokelewa Kata ya Mpitimbi kijiji cha Lipaya na Utakesha kata ya Peramiho

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa