• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MKUU WA MKOA RUVUMA; "VIONGOZI WA KIMILA TUMIENI MAMLAKA YENU KUDUMISHA MILA NA DESTURI ZETU".

Tarehe ya Kuwekwa: November 22nd, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amewaomba viongozi wa kimila kutumia mamlaka waliyonayo katika kulinda na kuenzi utamaduni na desturi za jamii zetu wakati akihutubia wananchi wa Kata na Kijiji cha Maposeni baada ya zoezi la usimikaji wa waandamizi wa Chifu wa Kingoni Emmanuel zulu Gama.

Tukio hilo limefanyika leo tarehe 22/11/2023 ambapo waandamizi wa Chifu wanne wamesimikwa leo ambao wanatoka maeneo mbalimbali ya wilaya ya Songea  ambao ni Mputa Gama, Hawayi Gama, Mgendela Bin Thobias na Songea Mbano.

Ambapo mkuu wa Mkoa wa Ruvua amesema anatambua uwepo wa mila nadesturi na mchango wake katika jamii yetu, amesema


“Kabla ya ujio wa wakolini tunakumbuka tulikuwa tukiishi au tukiongozwa na machifu ambapo Chifu alikuwa anauongozi wake mpaka kwenye kaya kama ilivyo sasa mkubwa wetu ni Raisi lakini uongozi wa mwisho kabisa ni Balozi hivyohivyo wazee wazamani waliishi hivyo kwahiyo tukio lililotokea leo hii ni ngeni kwa kizazi cha sasa lakini kwa miaka ya nyuma ndivyo walivyokuwa wakiishi mababu zetu”

Lakini kama alivyotangulia kusema Chifu wa wangoni Emmanuel Gama kwamba nyinyi mmesimikwa leo kwaajili ya kushauri mambo ya maendeleo ya kimila na kiutamaduni katika maeneo yetu kwahiyo niwaombe mkaifanye kazi hiyo ili kulinda utamaduni wetu wa Kiafrika dhidi ya utamaduni wa Kimagharibi ambao unaharibu mila zetu, Pia serikali inatambua sana mchango wa viongozi wa jadi  hivyo msisite kushauri serikali pale ambapo hapako sawa kulingana na mila na desturi zetu”.


Nae Emmanuel Zulu Gama Chifu wa kabila la kingoni amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kwa ujio wake katika zoezi hilo la usimikaji wa waandamizi wa Chifu mkuu na kusema kwamba mila na desturi zichangie maendeleo ya nchi kwa ujumla, pia amewaomba waandamizi wake ambao amewasimika leo wasitumie mamlaka waliyonayo vibaya badala yake washirikiane na Serikali katika kuhakikisha wanaleta maendeleo chanya katika jamii iwe ya kiserikali au ya mila na desturi.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 28 VAPATIWA MIKOPO YA TSH MILIONI 249 NA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    July 03, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 600 ZIMETUMIKA KUJENGA STEND YA KISASA PERAMIHO

    July 01, 2025
  • Ujenzi wa Mradi wa Barabara Likuyufusi–Mkenda ni fursa mpya ya Maendeleo ya Songea Dc.

    June 20, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI WASISITIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UFANISI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO SONGEA DC

    June 19, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa