• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MKURUGENZI MTENDAJI AITAKA KASI KWENYE UJENZI NA USIMAMIZI WA MIRADI

Tarehe ya Kuwekwa: May 13th, 2024


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Bi. Elizabeth Mathias Gumbo, jana 13/05/2024 alitembelea na kukagua miradi inayotekelezwa na Halmashauri na kuwataka wasimamiz na mafundi kuongeza kasi ili kukimbizana na muda.

Bi Elizabth ameyasema hayo baada ya kukagua ujenzi unaoendelea kwa katika Miradi saba tofauti iliyopo  Halmashauri, pamoja na mambo mengine Mkurugenzi amesisitiza umakini, na spidi kwa mafundi na wasimamizi wa miradi ili kuendana na kasi anayoihitaji

“ niwasisitize sana, kwa sasa tupo nyuma ya muda, tunayo pesa ya kutosha hivyo kwa wale wote wanaosimamia miradi hakikisheni mnashinda site na kuhakikisha mafundi muda wote wapo Site, vifaa vipo na kazi zinafanyika” Gumbo

Miradi aliyokagua ni pamoja na Shule ya Sekondari Maposeni ambapo alikagua  Ujenzi wa Jengo la Utawala lililotengewa fedha kiasi cha  shilingi milioni sabini na nne na laki sita 74,600,000/= kutoka mradi wa SEQUIP, Ujenzi wa Madarasa kumi na saba ( 17) yenye thamani ya Shilingi Milion mia nne na nane ( 408,000,000/=) kutoka Serikali kuu pamoja na Matundu 25 ya vyoo yenye thamani ya shilingi million Arobaini na nne ( 44,000,000/=)

Shule ya Sekondari Jenista  Mhagama, alipita na kukagua ujenzi wa Madarasa kumi ( 10) utakaogharimu fedha kiasi cha Shilingi million mia mbili aroboini (240,000,000) na Matundu ya Vyoo kumi na Tisa( 19) yenye thaman ya Shilingi milioni thelathini na tatu ( 33,000,000) kutoka Serikali kuu

Aidha Mkurugenzi alitembelea na kukagua ukarabati wa Madarasa Saba (7) yenye thamani ya Shilingi Milion Mia moja Themanini, fedha kutoka Serikali kuu, na Ujenzi wa Bweni katika shule maalumu ya msingi mnyonga, ujenzi huo umetengewa kiasi sha shilingi Milioni miamoja na ishirini na nane ( 128,000,000)

Mkurugenzi ameendelea kuishukuru Serikali ya awamu ya Sita ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa fedha hizi ambazo amekua akizitoa kwa ajili ya wananchi na watanzania kwa kuwajengea Madarasa, Mabweni na Matundu ya Vyoo ambayo yatakidhi mahitaji ya wanafunzi

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa