• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MIRADI ya Ajira ya muda inayotekelezwa na TASAF yatatua changamoto mbalimbali

Tarehe ya Kuwekwa: May 29th, 2023

HALMASHAURI ya Wilaya ya Songea ni moja kati ya Halmashauri zilizopo kwenye mpango wa kutekeleza mpango wa kunusuru Kaya Maskini ambao unahusisha kipengele cha mradi wa Ajira za muda hivyo Walengwa huongezewa kipato kwa kufanya kazi za ujira wa muda kupitia miradi iliyoibuliwa katika Vijiji vyao.

Mratibu wa TASAF Bi. Hossana Ngunge kwa kushirikiana na Timu ya Wataalamu wamefanya ufuatiliaji wa miradi hiyo ya Ajira za muda inayotekelezwa katika Vijiji vilivyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

Moja kati ya miradi iliotembelewa ni mradi wa utengenezaji wa paving katika shule ya sekondari Maposeni na Jenista ambapo zitapangwa katika eneo la mstarini hivyo mradi huu unaenda kuondoa changamoto ya vumbi.

Vilevile wametembelea mradi wa ujenzi wa kivuko uliopo katika Kijiji cha Nguvumoja ambapo kivuko hicho kinawasaidia wananchi kuvuka toka sehemu moja hadi nyingine.

Pia wamefatilia mradi wa uboreshaji wa kisima cha asili kilichopo katika Kijiji cha Nguvumoja ambapo kupitia mradi huu Wananchi wanaenda kupata maji safi na salama.

Mwisho wamefanya ufuatiliaji katika Kijiji cha Serekano ambapo walengwa waliibua mradi wa upandaji wa miti ya matunda aina ya Parachichi.

Kufuatia utekelezaji wa miradi hiyo Wananchi wameipongeza na kuishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama kwa kuanzisha utaratibu wa miradi ya Ajira ya muda ambapo wamesema licha ya kuinua kipato chao lakini pia miradi hiyo imetatua shida mbalimbali.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA YAPOKEA WATUMISHI 48 WAPYA

    January 26, 2026
  • FAHAMU KUHUSU VYAMA VYA USHIRIKA

    January 21, 2026
  • PPRA KANDA YA KUSINI YATOA MAFUNZO YA SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA KWA WATUMISHI SONGEA DC

    January 13, 2026
  • MAAGIZO 10 YA NAIBU WAZIRI KWAGILA; WATAALAM WATAKIWA KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA MIRADI

    January 11, 2026
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa