• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MHE MENAS KOMBA "SHULE YA MSINGI LIGUNGA NI MFANO KWA SHULE NYINGINE"

Tarehe ya Kuwekwa: October 18th, 2023

Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Ligunga amepongezwa kwa usimamizi mzuri wa ujenzi wa vyoo katika shule yake wakati kamati ya Fedha ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashuri Mhe. Menas Komba ikikagua miradi ya ujenzi wa vyoo vya shule za msingi Kata ya Kizuka na Muhukulu.


Ambapo pamoja na mambo mengine Mwenyekiti wa Halmashuri ya Wilaya ya Songea ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha amemuomba kumaliza ukarabati wa Madarasa yaliyobaki wakati huo kamati ya Fedha ilichangia hapo hapo kiasi cha shilingi 90,000 kwaajili ya ukarabati wa milango ya Madarasa katika shule hiyo ambapo Mwenyekiti pia amemwambia kuna fedha ambazo zimetengwa na Serikali kwaajili ya kumaliza Madarasa yaliyobaki. Amesema

"Tumepita sehemu nyingi sana lakini hapa umefanya vizuri sana richa ya umbali wa mradi hakika unastahili pongezi nyingi kupitia ujenzi huu kwahakika umezitendea vema fedha za Serikali maana tumeona vyoo safi pia umejenga kinawia mikono kiasi kwamba inaonekana hamna ulaji wa hela katika mradi huu. Kwahiyo nikuombe tu kwa fedha hizi ambazo umechangiwa hapa malizia kukarabati milango ya madarasa ambayo haifungi vizuri ili kuweka taswira nzuri ya shule hii hata hivyo Serikali imeshatenga fedha kiasi cha shilingi milioni 12 kwaajili ya ukarabati wa madarasa( darasa la awali ) na ofisi iliyobaki"

"Pia niwaombe walimu wengi japo kwa uchache wenu lakini naombeni toeni ushirikiano kwa mwalimu Mkuu wenu na hata Serikali kwa kutulindia watoto wetu na kuwafundisha kwani Serikali inatoa fedha nyingi kwaajili ya watoto wetu wapate Elimu bora" Alisema  Mhe Menas Komba Mwenyekiti wa Kamati.

Alitoa taarifa ya utekelezaji wa mradi huo Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Ligunga Madawa John Java amesema "Tulipokea kiasi cha shilingi 33,993,862.66 kwaajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo13 na iliyobaki ni shilingi 2,636, pia stoo tumebakiwa na sinki moja la kunawia mikono, marumaru, pipe ya maji na kopo moja la rangi"

Pia Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Ligunga ameahidi kukarabati milango ya madarasa kutokana na fedha alizochangiwa na kamati hiyo na kusema Hadi tarehe 24 ya mwezi huu Octoba atakuwa amekamilisha. Pia kamati hiyo iliendelea na ukaguzi katika shule nyingine kama vile shule ya Msingi Lizaboni, Shule ya Msingi Lunyere na kumalizia Shule ya Msingi Lung'oo Kata ya Muhukulu.


Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa